Huyu mwenyewe.Habari wana JF,
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana kuhusu kuku wa kienyeji aina ya kuchi. Nimefanikiwa kuwapata kuku hawa, kwa wale wenye uzoefu na kuku hawa naomba mnisaidie je ni wenyewe kweli au nimepigwa?
View attachment 1303893
Ni kuku wa nyama.Sifa zao kuu ni zipi mkuu yaani wanataga mayai sana au ni kuku wa nyama?
Kutokea nje ya nchi haimaanishi kuwa hawezi kuwa kuku wa asili (kienyeji) au kwamba lazima awe wa kisasa kwa kuwa tu ametoka nje ya nchi! Kuku (kienyeji au kisasa) hutambuliwa kwa breed zake. Hata huko Ulaya kuna kuku wa kisasa (commercial) na wale wa kienyeji (wafugwao nyumbani/backyard).Kuku wetu wa asili nina imani unawafahamu, utakutana nao kila mahali.
Hao unaowataja hapo Kuchi hawana asili ya Tanzania, 'nasikia' asili yake ni India.
Mpaka laki tatu. Ndio ununue Ka kifaranga Kako 35000 halafu kafe utalia kama msiba.Unaweza kumnunua laki moja?
Kipi kitakushawishi umnunue laki moja.
Hivi sotoka ni ugonjwa ganiMasomo, ilibidi nisafiri kwenda mbali kwaajili ya masomo halafu sikua na mtu wa kuwaangalia. Ikabidi niuze wote. Ila ukituliza kichwa hao kuku watakutoa kimaisha, utapiga hatua sana. Utakua haukosi 300,000/= au 200,000/= za haraka haraka.
Sema jitahidi uwe unawapa kinga kila baada ya miezi mitatu, magonjwa yanaosumbua kuku hua ni Sotoka, Gumboro na Mafua (Na yote yana kinga zinauzwa madukani) kuna magonjwa mengine kama minyoo sio hatari sanaaa hua wanapona. Ukiweza kuwapa kinga za hayo magonjwa matatu kila baada ya miezi mitatu basi mambo yatakua poa sana.
Ina majina mengi, jina jingine ni kideli au mdondo.Hivi sotoka ni ugonjwa gani
Ni kwa nn uliachaHao kuku ni wenyewe, wazuri, naweza kusema haujapigwa (ila inategemea na bei uliotoa).
Bei zao hua kuanzia 100,000/= mpaka 300,000/=. Nliwahi kufuga kuchi zamani kidogo.
Nje hawana Kienyeji ?Hapo unaposema wa kienyeji unamaanisha nini? maana kama asili yake ni nje (kama ninavyosikia) basi sio wa kienyeji tena.
Mkuu hyo Kuku mbona ana balaa sana🙄 sasa kwa hawa kuku wetu wakienyeji anaweza kuuwa kabisaHuyu DOGI vs KUCHI orijinaleeee
umeandika kwa hisia sana mkuu 😂😂Ujinga mtupu tu , hamna cha maana hapo , unanunuaje kuku laki moja mpak laki tatu kuku mmoja ... Bora uende shamba ukachukue kuchi wa kienyeji jogoo wa maana Kwa 15000, nimeshagundua hapa duniani ukikosa information unaweza ukaaminishwa kitu cha hovyo na ukapigwa hela mpak ukajidharau....
Ndo haya haya cadeti ya 25k Kwa machinga , ukienda mliman city unauziwa Kwa 95k
Inategemea umewanunua wapi! Kama Zanzibar au Pemba au Tabora, basi ni original aidha kwenye kizazi cha pili au tatu; weye komaa nao tu hadi mwisho, ndipo utapata jibu sahihi!Habari wana JF,
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana kuhusu kuku wa kienyeji aina ya kuchi. Nimefanikiwa kuwapata kuku hawa, kwa wale wenye uzoefu na kuku hawa naomba mnisaidie je ni wenyewe kweli au nimepigwa?
View attachment 1303893
Siyo kweli.Kuchi wengi wanapatika sana mikoa ya Katavi,Tabora na hata Singida.Kuku wetu wa asili nina imani unawafahamu, utakutana nao kila mahali.
Hao unaowataja hapo Kuchi hawana asili ya Tanzania, 'nasikia' asili yake ni India.
Habari yako, bado unafuga kuchi?Habari wana JF,
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana kuhusu kuku wa kienyeji aina ya kuchi. Nimefanikiwa kuwapata kuku hawa, kwa wale wenye uzoefu na kuku hawa naomba mnisaidie je ni wenyewe kweli au nimepigwa?
View attachment 1303893
Habari yako, bado unafuga kuchi?Habari wana JF,
Nimekuwa nikifuatilia kwa ukaribu sana kuhusu kuku wa kienyeji aina ya kuchi. Nimefanikiwa kuwapata kuku hawa, kwa wale wenye uzoefu na kuku hawa naomba mnisaidie je ni wenyewe kweli au nimepigwa?
View attachment 1303893
Kwanini wanauzwa bei sanaHao Kuku Nimewakuta Kwa Jamaa Mmoja Maarufu Kwa Ufugaji
Yeye Alisema Asili Yao Siyo Tanzania Na Sifa Kubwa Wanasema
wana Manyonya Kidogo Na Nyama Nyingi Sana
Huyo Jamaa Anauza Kifaranga Cha Week 1 @ Tshs 10000/= Akiongezeka Kukua Bei InazidiKwanini wanauzwa bei sana
Huyo mfugaji yuko wapi nichukue mayai nitotolesheHao Kuku Nimewakuta Kwa Jamaa Mmoja Maarufu Kwa Ufugaji
Yeye Alisema Asili Yao Siyo Tanzania Na Sifa Kubwa Wanasema
wana Manyonya Kidogo Na Nyama Nyingi Sana
Wanaahauri Sana Kuchukua Vifaranga Kuliko Mayai Maana Unapokwenda Kutotolesha Yaweza Mfano Yasianguliwe Kutokana Na Mambo MengiHuyo mfugaji yuko wapi nichukue mayai nitotoleshe