RASHIDI OMARY
JF-Expert Member
- Jan 15, 2015
- 524
- 498
Mimi ni mgeni humu naona wengi hamtumii majina yenu halisi nifanyaje Ili nitumie jina hewa? Naomba msaada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] vyuo wanafungua lini?Tuma picha yako kwanza halafu tukishakujua ndio utaweza tumia jina la uongo,ila tukujue kwanza.
Mbona ni rahisi sana! Anza kujiita Kuku Mgeni kuanzia sasa! Halafu na Mods watalipitisha hilo jina kwa kulipigia kura ya ndiyo.Mimi ni mgeni humu naona wengi hamtumii majina yenu halisi nifanyaje Ili nitumie jina hewa? Naomba msaada
KaribuMimi ni mgeni humu naona wengi hamtumii majina yenu halisi nifanyaje Ili nitumie jina hewa? Naomba msaada