Kuku na ndege wengine wanatumia hisia gani kutambua maji?

Kuku na ndege wengine wanatumia hisia gani kutambua maji?

BUSH BIN LADEN

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2019
Posts
8,447
Reaction score
19,425
Nimegundua ndege wengi hawaoni kioo, ukitenga kioo mbele ya ndege wengi hua wanajigonga kwenye kioo ishara kwamba hua hawaoni kama kuna kitu mbele yao.

Nadhani ni kwa kuwa kioo ni transparent ambao ni muonekano yalionayo maji(pure water). Je ndege wanatambuaje kwamba ulichowatengea mbele yao ni maji na kikimbilia kuyanywa kama sifa ya maji ni kutokuwa na rangi, harufu(sawa na maji) wala umbo?
 
Wanatumia kuyagonga kama wanavyogonga kioo inshort huwa wanabet kama kioo au water.......
 
Sio kioo tu, nakumbuka kipindi nipo kibaha jirani alijenga fensi ndefu ya ukuta na akapaka rangi nyeupe ,

Kumbe ile ilikua njia ya ndege kupita mara kwa mara basi kilichofuata nilianza kununua tooth pick mana unaweza kuta kundi zima linapiga ukutani la ndege
 
Sio kioo tu, nakumbuka kipindi nipo kibaha jirani alijenga fensi ndefu ya ukuta na akapaka rangi nyeupe ,

Kumbe ile ilikua njia ya ndege kupita mara kwa mara basi kilichofuata nilianza kununua tooth pick mana unaweza kuta kundi zima linapiga ukutani la ndege
Ukuta wa yeriko,bila shaka ulikuwa mrefu kwenda juu futi kadhaa
 
hapana kuku wana wivu ndio akimwona mwenzake kwenye kioo anataka kumdonoa. Fanya hilo zoezi kwa kioo chako cha kujitazamia ila sio cha dirishani
 
Sio kioo tu, nakumbuka kipindi nipo kibaha jirani alijenga fensi ndefu ya ukuta na akapaka rangi nyeupe ,

Kumbe ile ilikua njia ya ndege kupita mara kwa mara basi kilichofuata nilianza kununua tooth pick mana unaweza kuta kundi zima linapiga ukutani la ndege
Sio kwamba hawakuzoea hilo eneo kuwa na ukuta so walikuwa wanatembea kwa mazoea hivyo kujikuta wanagonga ukuta?
 
Back
Top Bottom