Kuku na viazi vya kuoka

Kuku na viazi vya kuoka

waoooh!! thanks alot farkhina mate yanidondoka mie.
 
Last edited by a moderator:
mie napenda sana mwanamke anayejua kupika kiukweli yaani ukitaka nife nioze kwa mdada ajue kupika tu vp farkhina umeolewa?
 
Last edited by a moderator:
Hii kitu nimejifunza kuitengeneza last month...
 
Kama pudding vile tena walishwa lol mambo ya pwani
farkhina wantia hamu mwenzio ni me miss msuli jamvi kiupepo cha jioni jua lazama chini ya mnazi mwembe au mkungu mahanjumati yote yako siniani
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom