Ngamba
JF-Expert Member
- Jun 6, 2013
- 750
- 151
Naomba kuuliza kwa wenye ufahamu ama uzoefu na ufugaji
Nina banda la kuku wa,kienyeji ni naowafuga kwa kisasa , swali langu ni kuwa je humo ndani naweza weka kibanda kidogo cha sungura? &
kama yawezekana kufuga pamoja kuku wa kienyeji na kwale?
Nitashukuru xana any information I will receive
Nina banda la kuku wa,kienyeji ni naowafuga kwa kisasa , swali langu ni kuwa je humo ndani naweza weka kibanda kidogo cha sungura? &
kama yawezekana kufuga pamoja kuku wa kienyeji na kwale?
Nitashukuru xana any information I will receive