cumbamalema
JF-Expert Member
- Sep 4, 2024
- 366
- 820
Jamani kwa wajuzi wa mambo naomba mnisaidie, nimezoea kuwaona kuku wa kisasa na huwa hawatagi, swali langu vifaranga vyake vinapatikana vipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulishawahi kuliona Yai la kuku wa kisasa?Kwani yai na kuku kipi kilitangulia
Hao kuku umeshawahi kuwaona?Maana kuku wa mayai wakichoka kutaga huwa wanauzwa kwa ajili ya kuliwa, sasa hawa inakuwaje?Wapo kuku maalumu waliochaguliwa kitaalum na na kuboreshwa genetically wao kazi yao ni kutaga hao mayai ya broiler tu.
Mayai hao yakianguliwa tunapata broiler walionyimwa sifa ya kuendeleza kizazi genetically.
Kuna mashamba maalumu yanaitwa breeder farm yanawamiliki hao kuku kwaajili ya uzalishaji mayai mfano silverland iringa.Hao kuku umeshawahi kuwaona?
Me ninao broiler niliwafuga Hadi miezi 6 wakaanza kutaga ila utagaji wao ni hafifu, kwenye kuku 10 kwa siku wanaweza kutaga wawili au watatu au wakagoma kabisaWapo kuku maalumu waliochaguliwa kitaalum na na kuboreshwa genetically wao kazi yao ni kutaga hao mayai ya broiler tu.
Mayai hayo yakianguliwa tunapata broiler walionyimwa sifa ya kuendeleza kizazi genetically.
Yah wapo wanaotaga broiler wapo wa aina nyingi mno.Me ninao broiler niliwafuga Hadi miezi 6 wakaanza kutaga
Mengi sana, hata haya tunayokula kwenye vibanda umiza, kwenye stendi za mabasi, bar nk. Yote ya kuku wa kileo.Ulishawahi kuliona Yai la kuku wa kisasa?
Ni wakubwa mno na ni gharama.Hao kuku umeshawahi kuwaona?Maana kuku wa mayai wakichoka kutaga huwa wanauzwa kwa ajili ya kuliwa, sasa hawa inakuwaje?
Kuna mashamba maalum yana hawa wazazi wa broiler unaowaona kwa kikristo wanaitwa ( parental stock) hawa ndio hutoa mayai ya hawa broiler unaowaona ambao kiuhalisia wao hawawezi kuzaliana tena , na hao parental stock wakikomaa kabisa wanakua wakubwa sana anaweza kujaa kwenye ndoo ndogoHao kuku umeshawahi kuwaona?Maana kuku wa mayai wakichoka kutaga huwa wanauzwa kwa ajili ya kuliwa, sasa hawa inakuwaje?
Mara nyingi Chakula kinapokosa virutubisho vinavyotakiwa husababisha kuku kutotaga inabyotakiwaMe ninao broiler niliwafuga Hadi miezi 6 wakaanza kutaga ila utagaji wao ni hafifu, kwenye kuku 10 kwa siku wanaweza kutaga wawili au watatu au wakagoma kabisa
Yapo sanaUlishawahi kuliona Yai la kuku wa kisasa?
Mbona wapo wanauzwa, hujawahi kukutana na miluku myeupe mikibwaaa kama kilo 10 hivi?Hao kuku umeshawahi kuwaona?Maana kuku wa mayai wakichoka kutaga huwa wanauzwa kwa ajili ya kuliwa, sasa hawa inakuwaje?
Nimewahi kuwaona,kumbe ndiyo waleMbona wapo wanauzwa, hujawahi kukutana na miluku myeupe mikibwaaa kama kilo 10 hivi?
Au ndio Yale wanapanga mezani kule mbagala mguu kama WA mbuziKuna mashamba maalum yana hawa wazazi wa broiler unaowaona kwa kikristo wanaitwa ( parental stock) hawa ndio hutoa mayai ya hawa broiler unaowaona ambao kiuhalisia wao hawawezi kuzaliana tena , na hao parental stock wakikomaa kabisa wanakua wakubwa sana anaweza kujaa kwenye ndoo ndogo