Hypersonic
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 829
- 1,564
wiki ya 19 mbona muda wao bado mkuu au?Nina kuku wa mayai zaidi ya 1,000 wanakwenda wiki ya 19 lakini wamegoma kudondosha yai. Licha ya kununua chakula cha kiwandani kuanzia Wana siku ya kwanza mpaka leo.
Lakini pia uzito wao walionao ni uzito stahiki kulingana na umri wao.
Naanza kupata stress maana wanatetea tu tangu week ya 16, lakini kutaga hawataki.
Msaada tutani wakuu.Ufugaji si mwepesi.
26/29 nilifikia nikawa nakusanya hizo, lakini baada ya muda wakashuka mpaka 19 na hii nikwasabubu napochukua chakula nahisia walichakachua chakula, ilinibid nibadili kampuni ya chakula baada ya kubadili wamepanda Tena kwa sasa mpaka Jana nimekusanya 23.
Mara yakwanza nilifuga kuku 15 wakafa nikanunua vifaranga wa mwezi mmoja 30, wakawa wanakufa, wakabaki kama 13 nikawauza.nikasema ngoja ninunue wengine 300, kwenye 300 ilikua kama shamba darasa ingawa walikufa kama 60.Mkuu ulitumia mbinu gani katika kuwakuza vifaranga kuepukana na vifo kipindi wakiwa wadogo?
Mara yakwanza nilifuga kuku 15 wakafa nikanunua vifaranga wa mwezi mmoja 30, wakawa wanakufa, wakabaki kama 13 nikawauza.nikasema ngoja ninunue wengine 300, kwenye 300 ilikua kama shamba darasa ingawa walikufa kama 60.
Baada ya hapo ndio nikafuga 1100 wa mayai. Kwahio nibaada ya kupata uzoefu at least wa mwaka mmoja kwa vitendo. Maana mwanzo nilitaka niwe nafuga sasso nakuwauza kwenye mabucha, lkn nikaja kugundua nyama ya kuku hasa sasso wanunuzi ni wachache kheri broiler au kuku wa mayai.
Huu ni utajiri.26/29 nilifikia nikawa nakusanya hizo, lakini baada ya muda wakashuka mpaka 19 na hii nikwasabubu napochukua chakula nahisia walichakachua chakula, ilinibid nibadili kampuni ya chakula baada ya kubadili wamepanda Tena kwa sasa mpaka Jana nimekusanya 23.
Mambo yamebadilika sasa. Sisi tuliosoma Agricultural Science Sekondari enzi hizo za Nyerere na Mwinyi ilikua mpaka wafikishe miezi 6Niliwachukua Silverland, tatizo Kuna kuku maalumu wazazi ndio wazurii kwa kutotolesha mayai yao. Na hawauzi madume wanauza majike tu.
Ingawa wanasema watataga lakini naanza kupata hofu, ilitakiwa week hii angalau nione yai hata Moja, lakini sijaona inakua hasara sasa.
Kilimo ni sayansi ya mabadilikoMambo yamebadilika sasa. Sisi tuliosoma Agricultural Science Sekondari enzi hizo za Nyerere na Mwinyi ilikua mpaka wafikishe miezi 6
Hapana hamna uchawi, na kuku wapo kwenye peak nyakati hizi.Mbona kama unahisi kuna kauchawi hivi, au mimi nimefikiria haraka