Kuku wangu wa mayai wamegoma kutaga wanaelekea week ya 19

Kuku wangu wa mayai wamegoma kutaga wanaelekea week ya 19

Mkuu angalia shida inaweza kuwa hapa kwenye msosi! 88kg hiyo ni 8800g ÷1000 = 88g per bird. Kwa umri huo na kwamba wanatakiwa watage hicho chakula hakitoshelezi mahitaji. Hapo walitakiwa wapate layer's mash kwa 110-120g, maji pia yawepo ya kutosha. Chakula kwanza unawapa cha aina gani isijekuwa unaendelea kuwachochea grower's mash!
Mkuu
Wewe ni mfugaji pia?
Naona umedonoa kwenye point muhim mno ambako hakuna mtu alifikiria kabisa
 
Nina kuku wa mayai zaidi ya 1,000 wanakwenda wiki ya 19 lakini wamegoma kudondosha yai. Licha ya kununua chakula cha kiwandani kuanzia Wana siku ya kwanza mpaka leo.

Lakini pia uzito wao walionao ni uzito stahiki kulingana na umri wao.

Naanza kupata stress maana wanatetea tu tangu week ya 16, lakini kutaga hawataki.

Msaada tutani wakuu.Ufugaji si mwepesi.
Achana na hiyo biashara utakuwa na akili kama ya kuku....hivyo biashara ni nzuri kufanywa na makampuni ya ufugaji siyo mtu binafsi na kama ni mtu binafsi basi isiwe ni chanzo chako kikuu cha mapato bali chanzo cha pili au cha tatu cha mapato.
 
Achana na hiyo biashara utakuwa na akili kama ya kuku....hivyo biashara ni nzuri kufanywa na makampuni ya ufugaji siyo mtu binafsi na kama ni mtu binafsi basi isiwe ni chanzo chako kikuu cha mapato bali chanzo cha pili au cha tatu cha mapato.
Sasa mkuu unajuaje kama sio chanzo cha pili au cha tatu Cha mapato?. Unaweza ukafuga kuku 1000, ukiwa huna chanzo cha kwanza cha mapato?. Utatoa wapi sasa pesa yakuendeshea mradi ?.

Halafu unapozungumzia makampuni binafsi, unajuaje malengo yangu hapo baadae ni yapi?. Tuache kukatishana tamaa, kama naweza tupa/wekeza zaidi ya mil 30 kwenye kuku basi tambua namalengo mengi hawa kuku 1000 sio kwanza kuanza kufuga, nilianza na sasso wa nyama ambao walikua zaidi ya 300 na niliwafuga kama sehemu yakujifunza kwa vitendo. Baadae ndio nikachukua Hawa 1000.

Tusikatishane tamaa.
 
Sasa mkuu unajuaje kama sio chanzo cha pili au cha tatu Cha mapato?. Unaweza ukafuga kuku 1000, ukiwa huna chanzo cha kwanza cha mapato?. Utatoa wapi sasa pesa yakuendeshea mradi ?.

Halafu unapozungumzia makampuni binafsi, unajuaje malengo yangu hapo baadae ni yapi?. Tuache kukatishana tamaa, kama naweza tupa/wekeza zaidi ya mil 30 kwenye kuku basi tambua namalengo mengi hawa kuku 1000 sio kwanza kuanza kufuga, nilianza na sasso wa nyama ambao walikua zaidi ya 300 na niliwafuga kama sehemu yakujifunza kwa vitendo. Baadae ndio nikachukua Hawa 1000.

Tusikatishane tamaa.
Soma tena nilicho andika kwa kutumia akili ...nimesema kama ni chanzo chako cha kwanza sikusema ni chanzo cha kwanza ..kwani mimi nakujua ?pia nimasema ufugaji unafaa zaidi wawekezaji wakubwa ndiyo unakuwa na tija
 
Soma tena nilicho andika kwa kutumia akili ...nimesema kama ni chanzo chako cha kwanza sikusema ni chanzo cha kwanza ..kwani mimi nakujua ?pia nimasema ufugaji unafaa zaidi wawekezaji wakubwa ndiyo unakuwa na tija
Sio ufugaji tu, Kila biashara inahitaji wawekezaji wakubwa ndio inakua na tija.
 
Nina kuku wa mayai zaidi ya 1,000 wanakwenda wiki ya 19 lakini wamegoma kudondosha yai. Licha ya kununua chakula cha kiwandani kuanzia Wana siku ya kwanza mpaka leo.

Lakini pia uzito wao walionao ni uzito stahiki kulingana na umri wao.

Naanza kupata stress maana wanatetea tu tangu week ya 16, lakini kutaga hawataki.

Msaada tutani wakuu.Ufugaji si mwepesi.
1734115675675.jpeg

Habari ndugu RUSTEM PASHA mm naita RItha natokea company ya S&Q Group international limited iliyopo Head Office hapa Dar Es Salaam na branch katika mikoa ya Mwanza,singida na Dodoma. Tunajihusisha nakkuuza vifaranga aina ya mayai yani Hy-line brand na broiler(Rose&TS.900) kwa wale ya kuku wa nyama. nipende kukukaribisha kuagiza vifaranga bora kutoka kwetu bei ni nafuu na vifaranga vyetu hupigwa chanjo za awali. pole kwa changamotouliyopata ila kwa maelekezo ya dawa na lishe pia call me via 0781647066


1734115675675.jpeg
 
Back
Top Bottom