RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
- Thread starter
- #61
Sawa mkuu.Chinja wote, alika ndugu jamaa na marafiki kuleni nyama iwe fundisho kwa kuku wengine kutekeleza majukumu yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mkuu.Chinja wote, alika ndugu jamaa na marafiki kuleni nyama iwe fundisho kwa kuku wengine kutekeleza majukumu yao.
kiwango cha chakula anacho wapa kulingana na idadi sio hapo wamesha vuka hivyo ni vyema kuwaongezea,chakula cha kuku wa mayai hakinenepeshi ndugu tofauti na chakula cha broilersKwa umri walionao na uzito wao vinaendana. Wakinenepeana sana hawatagi pia.
Ok sawa mkuu.
Ikifika wiki ya 22 hujaona yai ndo uwe na wasiwasi kwa sasa bado mapema mkuu.Nina kuku wa mayai zaidi ya 1,000 wanakwenda wiki ya 19 lakini wamegoma kudondosha yai. Licha ya kununua chakula cha kiwandani kuanzia Wana siku ya kwanza mpaka leo.
Lakini pia uzito wao walionao ni uzito stahiki kulingana na umri wao.
Naanza kupata stress maana wanatetea tu tangu week ya 16, lakini kutaga hawataki.
Msaada tutani wakuu.Ufugaji si mwepesi.
Nimekuelewa mkuu.kiwango cha chakula anacho wapa kulingana na idadi sio hapo wamesha vuka hivyo ni vyema kuwaongezea,chakula cha kuku wa mayai hakinenepeshi ndugu tofauti na chakula cha broilers
ongeza vyombo vya chakula alafu huo mfumoo unaoutumia utakuletea hasara sana wakianza kutagaBaadhi hawa hapa.
View attachment 3153829
Picha zaidi sina na video tu.Weka picha za hao kuku
Hapa nimekuelewa.Kuku wa mayai wengi wanaanza kutaga wakiwa na umri wa miezi 5 na nusu sawa na wiki 22 hadi miezi sita sawa na wiki 24 ila wauzaji wa vifaranga watakwambia wanaanza mapema ya hapo
Vyombo vya chakula baadhi vilikuwa vimetolewa nje kwa ajili ya kufanyia usafi, na drinkers zisizopungua 80 na feeders zaidi ya 100.ongeza vyombo vya chakula alafu huo mfumoo unaoutumia utakuletea hasara sana wakianza kutaga
Sawa mkuu.Ikifika wiki ya 22 hujaona yai ndo uwe na wasiwasi kwa sasa bado mapema mkuu.
Ok sawa boss.Wape muda hapo ni kuanzia wiki ya 20 Kama wanakula vizuri kabisa
Majogoo ya nini mkuu?. Kuku kutaga hahitaji majogoo.nakodisha majogoo per day 2000 siriaz
Kama ni hao.vuta subra.inaonekana bado bado.wana afya wanaonekanaPicha zaidi sina na video tu.
Sawa mkuu.Kama ni hao.vuta subra.inaonekana bado bado.wana afya wanaonekana
nafahamu ,Mimi nafuga jogoo wanabustisha hao watage.....Majogoo ya nini mkuu?. Kuku kutaga hahitaji majogoo.
DuhMkuu uuze layers ambao washatumia zaidi ya mil 16, utawauzaje Ili upate faida kuku wa miezi minne na nusu?.