RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 4,707
- 11,365
- Thread starter
- #21
Asante boss kwa kunitia moyo, maana nilikua najua inatakiwa waanze kutaga week ya 18 sasa hapa na stress maana nimefata miongozo yote.Kuku huanza kutaga kati ya week ya 20 -24. Kuwahi kutaga sio dalili nzuri, kwani ni lazima via vyake vya uzazi vikomar kumuwezesha kutaga. Ambapo umri sahihi ni wiki ya 20-24
Wakitaga mapema inaweza kusababisha yai kupasukia tumboni au kumfanya ashindee kutoa yai na kupelekea kufa.
Just maintain chakula na vitamins. Soon utapata matokeo.