Kuku wangu wanakohoa na kukoroma, naombeni msaada

Kuku wangu wanakohoa na kukoroma, naombeni msaada

M.COLLINS

Member
Joined
Jan 15, 2013
Posts
18
Reaction score
7
Wakuu mimi kuku wangu wanakohoa na ukiwasikiliza ni kama wanakoroma umri ni wa Mbezi miwili na vifaranga wa week moja na siku 6.

Hii issue imedumu kiasi maana niliwapa Fluban siku 5 ikawa bado nilipata kifo kimoja kwa (Watoto), siku 3 mbele nimewaanzishia dose nyingine ya TYDOX EXTRA Wakubwa wametulia ila wadogo (hawa wa one week) bado hali ni ile ile.

Naombeni msaada wenu wadau!
 
Tengeneza ule mchanganyiko WA COVID wa vitunguu, tangawizi, swaumu, tangawizi na pilipili kichaa au pilipili za kihindi zile ndefu ziwe zilizoiva, saga juice unawanywesha Cc1-2

Kisha wape hiyo juice Kwa syringe, ni kazi ya siku kama unao wengi, hakuna namna, inafanya kazi, Mimi shuhuda, nimenusurika kufilisika!
 
Ungetafuta wataalam wa kuku huko wangekusaidia zaidi na dawa za haraka
 
Tumia OTC 50% watapona

Lakini lazima ufuatilie kwanini wanapata mafua

Je, banda ni safi?

Banda lina hewa yakutosha?

Hiki ni kipindi cha mvua je mvua haifiki ndani banda likalowana?

Unatumia maji gani kunywesha kuku?maji ya mvua hasa yaliokaa muda mrefu kwenye ma tank sio mazuri.

Usipozingatia hayo niliokwambia utahangaika Sana na madawa.

Pole sana!

Kazi njema!
 
Tumia OTC 50% watapona,
Lakini lazima ufuatilie kwanini wanapata mafua,
Je banda ni safi?
Banda lina hewa yakutosha?
Hiki ni kipindi cha mvua je mvua haifiki ndani banda likalowana?
Unatumia maji gani kunywesha kuku?maji ya mvua hasa yaliokaa muda mrefu kwenye ma tank sio mazuri.
Usipozingatia hayo niliokwambia utahangaika Sana na madawa.
Pole sana!
Kazi njema!
Huo muda mrefu..!ni miezi mingapi..?
 
Huo muda mrefu..!ni miezi mingapi..?
Kama unaweza achana na maji ya mvua,vinginevyo yatibu na watergd,unajua maji ya bomba ni treated ndio maana ni salama kwako na mifugo pia,maji ya mvua ni salama mwanzoni lakini baada ya muda yanaanza kuoza na sio rahisi ukayagundua yakiwa kwenye hatua za awali,ni vigumu kueleza yanaharibika baada ya muda gani kwani hutemea na namna yanavyotunzwa mfano usafi wa container etc
 
Huo muda mrefu..!ni miezi mingapi..?
Maji ya mvua Kwa matumizi yangu na familia na mifugo, huwa tunatia chumvi kidogo, let's say 20liters kijiko kimoja cha chai! Na tunahakikisha yana funikwa vizuri! Usiyaache wazi! Hitachi sehemu salama! Hutojutia
 
Wakuu mimi kuku wangu wanakohoa na ukiwasikiliza ni kama wanakoroma umri ni wa Mbezi miwili na vifaranga wa week moja na siku 6.

Hii issue imedumu kiasi maana niliwapa Fluban siku 5 ikawa bado nilipata kifo kimoja kwa (Watoto), siku 3 mbele nimewaanzishia dose nyingine ya TYDOX EXTRA Wakubwa wametulia ila wadogo (hawa wa one week) bado hali ni ile ile.

Naombeni msaada wenu wadau!
Mkuu habari yako.
Kuna dawa ya kuchanganya Majani ya Aloevera na Pilipili umeshawahi isikia ni kwaajili ya Mafua na kifua nahisi lakini pia inabidi kuangalia mazingira ya banda lao yawe masafi..
 
Wakuu mimi kuku wangu wanakohoa na ukiwasikiliza ni kama wanakoroma umri ni wa Mbezi miwili na vifaranga wa week moja na siku 6.

Hii issue imedumu kiasi maana niliwapa Fluban siku 5 ikawa bado nilipata kifo kimoja kwa (Watoto), siku 3 mbele nimewaanzishia dose nyingine ya TYDOX EXTRA Wakubwa wametulia ila wadogo (hawa wa one week) bado hali ni ile ile.

Naombeni msaada wenu
Watakuwa na usingizi wa PONO hawa...wape kahawa changanya na tangawaizi utanishukuru
 
Back
Top Bottom