Kuku wangu wanakohoa, naombeni dawa

ukikosa mbinu zote fanya hivi.


chemsha maji ya moto wakate vichwa watumbukize ndani ya hayo maji, then wanyonyoe manyoya, utaamua ww uwapike soup, lost ama ubanike.


mbinu za msingi zaidi tusubiri wadau watakuja kutupa..
 
Wafugaji wenzangu naombeni dawa,kuku wangu wamekua wanakohoa sana na kusinzia sinzia kama mateja, naombeni dawa gani nitumie ili wapone
Heading na contents havifanani.

Harmonize anakohoaje?
 
Haaa πŸ˜‚, Jamanii

Muite diamond aje hapo ndo watapona
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…