The_vision
Member
- Feb 9, 2022
- 17
- 63
Heading na contents havifanani.Wafugaji wenzangu naombeni dawa,kuku wangu wamekua wanakohoa sana na kusinzia sinzia kama mateja, naombeni dawa gani nitumie ili wapone
Yani hiyo heading imenichekesha sanaππππhaupo serious mkuu
Kila nyimbo inavyoanza lazima akohoeHeading na contents havifanani.
Harmonize anakohoaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji119][emoji119] sikutarajia kama nitacheka usiku huu [emoji3][emoji3] daahWawekee biti mtoe hit song mkuu.
πππππKhoooo! khoo! khooo!
Yaaaw! yaaaaaw!
Hahahahhahahaha
Jeeeshii iiiiiiii
Koondeeee boyiii
I'm your teacher, teacher kondeπππππ
Manendaniwa..Khoooo! khoo! khooo!
Yaaaw! yaaaaaw!
Hahahahhahahaha
Jeeeshii iiiiiiii
Koondeeee boyiii
Wafugaji wenzangu naombeni dawa,kuku wangu wamekua wanakohoa sana na kusinzia sinzia kama mateja, naombeni dawa gani nitumie ili wapone