Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 602
- 969
Wajuzi naomba mnisaidie, kuku wangu wanavimba macho! Yanafumba! Wanasinzia! Pia wanapata choo cha rangi ya kahawia! Niwape dawa ipi!?
========
Zaidi soma: Msaada: Kuku wangu wanavimba sehemu za usoni
========
Zaidi soma: Msaada: Kuku wangu wanavimba sehemu za usoni