Tudai Haki
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 315
- 80
Kideri hicho dogo; hukuwachanja ndo maana wameugua. Nakushauri uwauze wote upate hela ukaanze upya. Magonjwa mengine yanavumilika lakini kideri ni noma.
Kama kuna sakafu kadeki kwa kwa sabuni ya detto; kama hujapiga sakafu jaribu kumwaga majivu kwa wingi walau siku 10 / 15 kabla ya kuingiza kuku wapya.
Habari za Jamiiforums.
Kuku wangu wengi wameanza kuugua mafua, na kufa kwa haraka,
Sijui wamekula nini?
tangu tarehe 2/2/14 kila siku kwenye banda ninakuta kuku aliyekufa"
Msaada wa haraka Jf Banda halijamalizika!!
Acha kuropoka si kila mzungu ni padri na pasipo tafiti hutakiwi kusema.
ndugu hapa si jukwaa la siasa kama kakosea ushauri,ni mwendo wa kumwelewesha tu na sisi tutafaidi pia
mkuu pole sana
wa kwangu waliugua hivyo hivyo ila dawa za shop ziligonga mwamba nikawapa alovera na pilipili kichaa nilikuwa natwanga pamoja na kichanganya katika maji ya kunywa kwa muda wa siku tatu na kuna ambao walikuwa wanasinzia na kukohoa ila huwezi amini walipona wote...
_na sasa kila mara nataka niwape alovera kuna uzi nilisoma huku kuwa ni dawa nzuri
Habari za Jamiiforums.
Kuku wangu wengi wameanza kuugua mafua, na kufa kwa haraka,
Sijui wamekula nini?
tangu tarehe 2/2/14 kila siku kwenye banda ninakuta kuku aliyekufa"
Msaada wa haraka Jf Banda halijamalizika!!
Ndugu usiendelee kubahatisha inaelekea wewe tatzo lako ulishindwa kugundua ugonjwa ukapewa dawa isio sahihi na kumbuka hakuna dawa inayotibu magonjwa yote.
Muhimu unapouguliwa toa maelezo kamili ya mgonjwa kwa mtaalam(si muuza dawa),awaone mtaalam au peleka VIC ilyo karibu nawe.
kwa hiyo we huamini dawa za asili?vijijini ndio wanazitumia hizi na mama ndio aliniambia
kaka nasikitika nilichelewa kuiona thread yako huenda ningekusaidia kwani kuku wako nadhan hawakuwa na tatzo kubwa ila ukiwa na tatzo tena jaribu kuni pm maana mm ni zao la mifugo tengeru nadhan umenipata