Tudai Haki
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 315
- 80
Kideri hicho dogo; hukuwachanja ndo maana wameugua. Nakushauri uwauze wote upate hela ukaanze upya. Magonjwa mengine yanavumilika lakini kideri ni noma.
Acha kuropoka si kila mzungu ni padri na pasipo tafiti hutakiwi kusema.