Kukua kwa Soko la Muziki, na Kuongezeka kwa Ushoga

Kukua kwa Soko la Muziki, na Kuongezeka kwa Ushoga

Tanzania ushoga ulikuwepo tangu enzi za ukoloni. Ulizia asili ya mziki wa mnanda. Huu muziki zamani ulikuwa unaitwa chakacha, sema sasa hivi wameongeza mirindimo na vionjo vingi vya wazaramo. Lakini enzi hizo chakacha ulikuwa mziki wa wasenge japo ulikuwa na mashabiki tofauti. Kwenye chakacha mashoga walikuwa wanatandika mkeka wanakatika hadharani na hakuna mtu aliyewasumbua. Zamani hakuna mtu ambae alikuwa anawapa hawa watu attention, ukiwa choko kimpango wako. Mimi kila siku nasema, songombingo zote zimeletwa na hawa watu wa Magharibi. Wanadai mashoga wapewe haki zao, sasa haki gani? Au serikali iwaongeze mikundu mingine kila shoga awe nayo mwilini?
 
Tanzania ushoga ulikuwepo tangu enzi za ukoloni. Ulizia asili ya mziki wa mnanda. Huu muziki zamani ulikuwa unaitwa chakacha, sema sasa hivi wameongeza mirindimo na vionjo vingi vya wazaramo. Lakini enzi hizo chakacha ulikuwa mziki wa wasenge japo ulikuwa na mashabiki tofauti. Kwenye chakacha mashoga walikuwa wanatandika mkeka wanakatika hadharani na hakuna mtu aliyewasumbua. Zamani hakuna mtu ambae alikuwa anawapa hawa watu attention, ukiwa choko kimpango wako. Mimi kila siku nasema, songombingo zote zimeletwa na hawa watu wa Magharibi. Wanadai mashoga wapewe haki zao, sasa haki gani? Au serikali iwaongeze mikundu mingine kila shoga awe nayo mwilini?
Daa![emoji849][emoji849][emoji849]
 
Tanzania mashoga ni wengi hadi vijijini. Ni kwamba serikali iko kimya ila yanatokea sana
 
Ndomana mvua inagoma
Maana mabalaa yamezidi

Ova
 
Nilienda kwenye msiba kinondoni ilivyofika jioni nikaona niende nikashtue kilaji ili nilale vyema msibani
Baa nilio kwenda nikakuta kuna shoga limekaa na mademu
Sasa na ushamba wangu ikawa namahangaa kwa kumuangalia sana jinsi anavyokata mauno na swaga za kike
Kumbe ananiona ninavyo muangalia akajua nimempenda namtaka
Dakika sifuri kamtuma muhudumu aje kuchukua hela nimnunulie Heineken akampa na namba eti nimtext
Ikabidi nigeuke kumuangalia akanikonyeza na kujibetua kama demu
Aisee sikumjibu hata yule muhudumu niliinuka nikatoka nje mbio kuelekea msibani
 
Nilienda kwenye msiba kinondoni ilivyofika jioni nikaona niende nikashtue kilaji ili nilale vyema msibani
Baa nilio kwenda nikakuta kuna shoga limekaa na mademu
Sasa na ushamba wangu ikawa namahangaa kwa kumuangalia sana jinsi anavyokata mauno na swaga za kike
Kumbe ananiona ninavyo muangalia akajua nimempenda namtaka
Dakika sifuri kamtuma muhudumu aje kuchukua hela nimnunulie Heineken akampa na namba eti nimtext
Ikabidi nigeuke kumuangalia akanikonyeza na kujibetua kama demu
Aisee sikumjibu hata yule muhudumu niliinuka nikatoka nje mbio kuelekea msibani
Hahahaha hahahaha

Ova
 
Back
Top Bottom