Kukumbushia... wabongo jamani duh!

Bahati mbaya ni kwamba mimi nikishatapika huwa siwezi kumeza tena matapishi, hivyo suala la kukumbushia kwangu huwa halina nafasi kamwe.
 
kama watu wameachana lakini bado wanapendana dah hapo inakua issue... kwa sababu one day lazima ex akuibie mpenzi wako...tena wengine wanasemaga unanitunzia...kwamba wewe mlipie gharama zote lakini mi nikija nachukua jumla jumla... kuna watu wanakumbushia mpaka ile siku ya harusi...yaani bibi harusi yuko salon anatengenezwa, bwana harusi mtarajiwa yuko na ex wanakumbushiana...ni nomaaa!!
 
Kupasha kiporo muhimu!...hasa ukikuta kile kilchoungwa kwa karanga weweee!utasahau chakula fresh kwa muda huo!
 

Hapo kwenye Nyekundu umenikumbusha mambo ya Mwanameka na Musa!aliposikia Musa ameoa!
 


....huyu analipa kujikumbushia aisee, khaaa?....akheim....koh -koh....!
am only joking maazzeee, ...na spice up mjadala...maana kuna wanaosema kama "inalipa!" inafaa kuwa Recycled!
 
Kupasha kiporo muhimu!...hasa ukikuta kile kilchoungwa kwa karanga weweee!utasahau chakula fresh kwa muda huo!
 
kukumbushia kutamu sana,tena haina gharama wala usumbufu!wanaume wanaamini ukisha mchojoa mwanamke hana ujanja tena
 
Mnaweza kufikiri kwamba mtaishia kukumbushia badala yake mka- restore kabisa. Hapo ndipo inapokuwa balaa!
 
Ndio maana huwa simshauri Kijana amuoe mwanamke ambaye ameshazaa na Mwanaume mwingine na huyo Mwanaume bado yuko hai. hili ni sehemu ya tatizo.
 
Mnaweza kufikiri kwamba mtaishia kukumbushia badala yake mka- restore kabisa. Hapo ndipo inapokuwa balaa!

Hii hutokea pale mmoja anapokuwa hana mahusiano ya kudumu huko aloko ndio mnaweza restore
Ila kama kaoa au kaolewa mrestore vipi, tena hii ya kukumbushia imenifanya nikaelewa ila dhana ya 'No Strings Attached'
Ni aina hiyo ya mahusiano

Ndio maana huwa simshauri Kijana amuoe mwanamke ambaye ameshazaa na Mwanaume mwingine na huyo Mwanaume bado yuko hai. hili ni sehemu ya tatizo.

On point, on point! Hasa kama awe alipenda ana akapenda, imekula kwako kwa kweli
 
Kiporo hakipikwi eeeh huwa tunapasha tu na kula na mtalaka hatongozwi
 
Ha ha ha ha, Mbu, mbona unataka kuwa bad boy?

Yaani unaniunganisha na huyu nikiwa nakonfesi mambo ya kukumbushia?
Anyway, huwa hamchunguzi kuku ndio bahati yangu lol
The Boss, sio kweli natania tu 🙂

The Boss toa ushuhuda bana, maana kisha mtu hataki kuungama humu akati haya matendo yanafanyika daily...
angalau Kongosho kaweka ushuhuda wake mezani..
 
Last edited by a moderator:
Reactions: Mbu
umalaya mtupu.... kukumbushia kitu gani?...uzinzi tu hakuna lolote


nilijua tu darling utakosekana mitaa hii . achana na hawa watu hny ni kiu zisizokatika ndio zinawasumbua , napenda ushauri wako beibii. karibu ntatangaza nia
 
Koh koh ..........nauliza tu hii kumbushia hiii.......... ukiwa huna mtu je wa kupasha kiporo (mwe naiga misemo ya Kongosho) unaruhusiwa kukubali kukumbushia au lah? Maana kama ukiwa tayari na mtu mwingine then wafuatwa eti mtu anataka kukumbushia nawe wamkubalia naona kama haijakaa sawa vile!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…