Kukutana na mama mkwe mtarajiwa ni dalili ya hatua nyingine kwenye mahusiano yenu

Kukutana na mama mkwe mtarajiwa ni dalili ya hatua nyingine kwenye mahusiano yenu

Ila mama wakwe ni lazima mkubari mtoto akishakuwa anatakiwa awe na maisha yake.

Tatizo kubwa lililopo mmeishi maisha yenu na bado mnataka kuishi na maisha ya watoto, hili siyo sawa.

Ndio sababu ugomvi uliopo ni kati ya wake na mama wakwe zao ingawa si wote.

Huwezi kusikia kuna ugomvi na Baba mkwe ni lazima mjiulize hili vizuri, ndio sababu wakwe zenu wanawaombea kifo ili waishi kwa amani bila gubu la mama mkwe.
Fact
 
Haya mambo ni magumu sana, unakuta mama mkwe mwingine anamponda mwanaye wa kumzaa kwa mkewe, kwamba huyu hana akili na a lot of blabla, sasa utajiuliza motive behind ni nini?
Tabia ya hovyo sana hii
 
Mama wakwe acheni gubu zenu, waache wanao na wakweo wa enjoy life. Kiruuuuuuuh.
 
Asante kwa ushauri, mimi hata mama mkwe akijilahisisha namtafuna tu ili heshima itawale. Nakula kuku na mayai yake
Kumbe hili jamaa jinga Kia's hiki

Kumbuka kuwa mama ako ndio mam mkwe wangu Sasa nije nimtafune mama ako na dada ako kweli kbsa mpwayungu uko serious
 
Mm mam angu alivyosikia mwanamke nataka kumuoa alimkatah hadharani Wal hakupepesa macho alisema wasws kuwa nikioa asinione Happ na yule bint

Ni kweli yule mwanamke alikuwa balaha la karne
 
Achana na ushauri huu wewe kama unapiga bia kama unavuta shisha wala usi fake piga bia zingine weka kwenye mkoba ukienda ukwen baada ya chakula toa bia weka mezani piga bia dada
 
Hehheheh labla sio kwa mama wakwe wa saivi
Ni wa michongo kuliko mchongo wenyewe[emoji38]
 
Wala msiu.kze vjchwa warembo soon haya mambo ya mama mkwe hayatakuwepo. Tumedhamiria kuhakikisha kauli mbiu yetu ya hakuna kuoa inatekelezwa ipasavyo
 
Back
Top Bottom