FactIla mama wakwe ni lazima mkubari mtoto akishakuwa anatakiwa awe na maisha yake.
Tatizo kubwa lililopo mmeishi maisha yenu na bado mnataka kuishi na maisha ya watoto, hili siyo sawa.
Ndio sababu ugomvi uliopo ni kati ya wake na mama wakwe zao ingawa si wote.
Huwezi kusikia kuna ugomvi na Baba mkwe ni lazima mjiulize hili vizuri, ndio sababu wakwe zenu wanawaombea kifo ili waishi kwa amani bila gubu la mama mkwe.
Tabia ya hovyo sana hiiHaya mambo ni magumu sana, unakuta mama mkwe mwingine anamponda mwanaye wa kumzaa kwa mkewe, kwamba huyu hana akili na a lot of blabla, sasa utajiuliza motive behind ni nini?
Duu na Kuna mhuni kalikeAsante kwa ushauri, mimi hata mama mkwe akijilahisisha namtafuna tu ili heshima itawale. Nakula kuku na mayai yake
Ha! Malcom,,,,mbona kimya saana?Hili ni tatizo kubwa......
Nipo mkuu...Ha! Malcom,,,,mbona kimya saana?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kila mzazi anataka mwanae apate kitu chema regardless yeye alikuwa chakaramu.
Kumbe hili jamaa jinga Kia's hikiAsante kwa ushauri, mimi hata mama mkwe akijilahisisha namtafuna tu ili heshima itawale. Nakula kuku na mayai yake
Haya sasa ndio maneno...nni kuzipekekea moto tu mbususuAsante kwa ushauri, mimi hata mama mkwe akijilahisisha namtafuna tu ili heshima itawale. Nakula kuku na mayai yake