Kukuza mtaji wa biashara ya kompyuta

Una uzoefu na biashara ipi, Ama una experience ipi kwenye biashara?
 
Una uzoefu na biashara ipi, Ama una experience ipi kwenye biashara?
Najua stationary and supplies.. ila sasa hata jinsi ya kupata huo mtaji wakuifanya ndio shughuli.. ndio maana najiwazia niaze na biashara yoyote ile nikifikisha milion7 ndio nifanye stationary and office supplies
 
Najua stationary and supplies.. ila sasa hata jinsi ya kupata huo mtaji wakuifanya ndio shughuli.. ndio maana najiwazia niaze na biashara yoyote ile nikifikisha milion7 ndio nifanye stationary and office supplies
Mtaji si umesema una 1.5M ama ni pesa ndogo? Wewe unataka mtaji wa shingapi uanze hiyo biashara ya seteshenari
 
Njoo nikuuzie dubu
 
Ela ndefu sana hiyo, Changamka shule zinafunguliwa January zungusha hiyo ela kwenye mahitaji ya shule ie..Sare za shule kama mashati ya tomato, sweta,soksi,school bag nk...mpaka inapofikia mwezi February, hiyo ela itakuwa iko karibu M3.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…