Kula Breki!!!

Kula Breki!!! karibia itafungwa Kwa sababu zizsizoweza kubadilika!


Kutoka Ofisi za Kula Breki!!! Mikocheni.
 
Naona malumbano haya ya wa JF siamini, inamaana CCM wana paraganisha vyama vya upinzani ili wa monopolize siasa ya bongo, sasa wamefanikiwa kuingilia ngome ya wana JF, hii ni hatari.
Mi nadhani kuanzisha kwa internet journalism, na the so called blogging ni kuwapa fursa watu wa kila aina fursa ya kujadili machungu yao, kukosoa, kukemea kurekebisha na kufundisha bila kuenda shule ya uandishi. Sasa kuanza kwa wana JF kulumbana eti fulani hajui kuandika nikuwafungia madirisha watanzania wengi tu ambao wanaweza kuchangia au kufaidika na michango ya humu JF. Ni bora tujaribu kuwaelewa, mjaribu kunielewa ninachotaka kueleza, mnisaidie nikikosea badala ya kuniponda na kunidhalilisha. Au alternative nyingine ni, ziwekwe criteria za kuwemo humu JF, pengine hii ni forum ya waandishi na wasomi tu. Tuwekeni wazi jamani.
 

Mkuu wala usiwe na wasiwasi........hapa JF kuna kila aina ya watu na vituko mbali mbali..........wee kata issue...utasomeka tu Mkuu
 
Kula Breki!!! karibia itafungwa Kwa sababu zizsizoweza kubadilika!


Kutoka Ofisi za Kula Breki!!! Mikocheni.


Hatimaye ruzuku zafikia Kula Breki!!!

Hivi sasa Mkurugenzi yupo njiani kutafuta Mwandishi mwingine wa KB!!!

Kula Breki!!! itakuwa inaenda kwenye mfumo mpya-ikimaanisha sasa hata habari za nje ya Jamii Forums zitaweza kunukuliwa na kufanyiwa Kula Breki!!!

Kweli vituko vipo, basi Kula Breki!!!

kama unataka kuwa mwandishi wa KB!!! tuwasiliane
 
Last edited:
Sinema mpya yaja JF Follywood...

Yachambuliwa JF follywood Staili...πŸ˜‰

Watoto wa wakubwa JF Ville nao wataka Di vi Di mapema!


"Hayo hayahusiki kwenye tukio la traffic kumsimamisha dereva, ni udaku"πŸ˜›

Ni moja ya yalioyonaswa na kichukua sauti(sio sawa na cha gesti ya Dk. slaa)πŸ˜€

Mwandishi atarudi punde!
 
Imerudiwa!😎 Inakuja karibuni kwenye skrini yako!Uncut....😎

Picha za mpigachapa wa Kula Breki!!! Kulaleki!😎
Yes it is Hot...!πŸ˜›


Itakuwa Live kwa muda wa siku mbili!
 
Imerudiwa!😎 Inakuja karibuni kwenye skrini yako!Uncut....😎

Picha za mpigachapa wa Kula Breki!!! Kulaleki!😎
Yes it is Hot...!πŸ˜›

Itakuwa Live kwa muda wa siku mbili!


sio wewe kweli?! fonti na uandishi umekaa kwa dizaini ambayo tumeizoea sana tangu enzi zileeee!!! narudia! sio wewe kweli? sio efu weweeee?!!?!
 
Kwa mara ya kwanza vidagaa baharini vimeanza kujiuliza ni nani mkubwa kati ya Papa na Nyangumi, huku wakiwa wamesahau kuwa avumae bahari ni Papa lakini kubwa lao ni Nyangumi..!

Papa ndie anaye aminika kutamba baharini, kwa mwendo wake wa kasi na mashambulizi ya ghafla tena ya kutisha, kiasi ya kumfanya awe ni maarufu sana baharini.

Hivi karibuni katika vita vya mafahali wawili wa baharini, imeonekana kuwa pamoja na ukubwa wa Nyangumi, Papa bado ni maarufu sana kwa ukubwa katika bahari ya maharamia wa meli hadi kule kwa prez asie tumia ndomu. Hata hivyo wataalumu wa mambo wanasema ni nadra sana kwa vidagaa, vibua, ngisi, pweza, changu,tasi na aina nyingine ya visamaki katika eneo hilo kumwona Nyangumi, hivyo kwao Papa bado ndio samaki/mnyama mkubwa kabisa licha ya kuwepo kwa Nyangumi.

Kama vile haitoshi vidagaa hivyo, ambavyo mara nyingi hukaa mbali na Papa, wameendelea kuhoji ni kwa nini Papa ametumia televisheni ya taifa la wanyama wa baharini,kujinadi kama yeye sio mkubwa kama Nyangumi, wakisahau kuwa Papa hana ubavu kama wa Nyangumi ambae ametumia televisheni yake yenye uwezo wa kuonekana live katika eneo lote avumalo Papa!

Kuna taarifa ambazo sio rasmi kuwa Nyangumi atajaa tena kwenye televisheni yake akipinga madai kuwa yenye ndie mtafunaji wa kwanza wa vidagaa na aina nyingine ya visamaki katika eneo hilo la bahari, huku vidagaa vingine vikifanya mpango wa kwenda kwenye maeneo ambayo Nyangumi amekuwa akivuliwa kwa wingi ili kuweza kujionea samaki hilo lipo la aina gani, na kama inawezekana kuliondoa katika eneo lao la bahari, licha ya madai yake kuwa yupo katika kuwatetea vidagaa na umaarufu wa Papa.
 
Last edited:
Fisadi Nyangumi aka Mangi aka arawa wa bifu haonekani akipindua vyombo baharini! Vidagaa vina ukomo mfupi wa kuona ndio maana vinamshangilia.

Lakini, ikumbukwe kuwa, penye ukweli uongo hujitenga hata kama itachukua karne nzimaaa.

Fisadi nyangumi aka arawa wa bifu ana umaarufu kama ulivyokuwa wa umaarufu wa DECI siku za mwanzoni.
 
Last edited by a moderator:
Siasa ng'ambo nyingine ya JF Ville yaingia ngwe nyingine

Another crusade?
 
...mvuto wa kula break umeanza kupooza!
...tia chachandu mwana watu wale break!
 
Sura nasikia ni wewe ndio ulipeleka kamera yako karibu sana na wao ndio maana wamekushtukia......hawajitokezi tena....na hata wakijitokeza...wanazungumza kwa codes.........
 
JF Ville wacheza ngoma za KigomaπŸ˜±πŸ™‚πŸ˜€πŸ˜€


Mijadala ya nani nani 2010 kusambaa kama mioto ya nchi za ngambo (GovernatorVille) likiendelea, mpasuko wa fikra,member wapya ,mafisadi wanaopumua , wapotoshaji wa masuala ya BAVICHA... ikiwa tu ni kinyanganyiro cha uenyekiti,na jitihada za kuiua CHADEMA pamoja na miandiko ya Zitto, kwa ukurupukaji; Mwandishi wa Kula Breki!!! aliweza kushuhudia ngoma hizo...

Alas, "Flexible and Dangerous"

'Sura Ya Saba' naye ajitokeza(si ndugu wa Sura-Ya-Kwanza) na mambo kemkemπŸ™„

Wakati Mwandishi akiwa katika jitihada za kuleta Ulimwengu huu wa JF VilleΒ….

Midundo ifuatayo ilisikika...

"...Kila jambo jema .Wekeni mambo kwa uwazi na mimi nitafika kusikiliza kinacho endelea "

"...Nafirikiri wanachama wa chadema wanatikiwa kuwa makini sana kwenye uchaguzi huu, kwa sababu ni uchaguzi muhimu sana kuelekea 2010 General Election.......! "

"...Zitto alianza hii safari pale alipokubali kujiunga na kamati ya madini ya Kikwete..."😱

"...Eaa bwana eee... senema bado inaendelea..."

"...Kwanini habari za Chadema tu ndizo zinazotawala hapa?"

"...Naona Zitto ajibu mapigo kwa kujiunga na CUF πŸ˜€"

"...Je, ni kweli hayo yote yalifanywa ili kufinyanga demokrasia au kukiokoa chama cha demokrasia na maendeleo, CHADEMA?..."

"...Zitto amesema hapa kuwa ananijua mimi ni nani na kuwa tumepanga naye mikakati ya kummaliza Wangwe...😱



[Mwandishi atarudi pindi gharama zikipungua...πŸ˜‰
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…