Kula Breki!!!

Kula Breki!!!

Baada ya kutoa dukuduku ya Uwezekano wa JF kugeuzwa kuwa chama cha siasa, mitafaruku yaanza kuonekana katika baadhi ya wana JF hao. Baadhi ya wakereketwa wamesikika wakisema wanajitoa mhanga kwa kile kinachosemekana kuwa wana JF kadhaa walikuwa hawana imani na HE.J.K.... kwa hivyo basi wanarudi kwenye chama tawala
Mmoja wao alinukuliwa..."Kwa kadri ninavyochukia dhana na mifumo ya vyama vya siasa na siasa zenyewe (kama zilivyo na zinavyoendeshwa Bongo), naanza kukusanya virago vyangu kuondoka humu kama kweli jambo hili litaonesha dalili zozote kudhihirika hapo baadae!", alikaririwa.

Kwa kuwa wana JF wamejizatiti baadhi ya wanachama wake wakereketwa wamewataka wanachama hao kungatuka!

Vyanzo vya habari hizi zinapatika katika midahalao mingi ndani ya JF!

By Thread-o-journalist 😉
Sasa dukuduku liemekuwa gumzo.
Najua jinsi vyama vingine vilivyotulet down.. this is the best chance we have..
Ukweli ni kwamba watanzania waliokuwa na nia ya kuiongoza Tanzania katika karne nyingine ya Kisiasa Jamiii Na uchumi wamejitokeza! Kwa sababu moja yapo nzuri Chama hiki hakijaanzishwa kwa mlolongo wa wa wapiga debe wa kadamnasi hii ya "Wanaopotoka kwa nia na Kuropoka kwa sababu!"

Mkuu wa Uenezi wa Kisiasa katika Jamii ya Jamii walio kijijini alinukuliwa tena na mwandishi wa kugandia,... aliyamaka wazi kuwa..."... Mbona Wapo tena"
 
Papo hapo mkuu wa kijiji hicho cha siasa JF Ville aliendelea kubwabaja...
"Ninachosema kwa maneno mawili ni kuwa 'we are screwed!" (najua ni matatu!) hakuna matumaini, hakuna njia ya kutokea, na hakuna mashujaa wetu wa kutuongoza vitani. Tufike mahali aidha tusalimu amri, au tujiunge humo humo na kula nao "sahani moja". Tufike mahali aidha tuendelee kupiga kelele kwenye mtandao na kuibua mambo kadha wa kadha au tukubaliane kujiunga nao."

Haya maneno kama mengine ambayo yaliwezwa kudakwa ndani ya Jukwaa mojawapo ndani ya JF Ville yanaleta utata wa Upande gani MwanaKijiji huyo yupo?

Sio shughuli wala uwezo wa wana Kula Breki!!! kuwaletea yanayoyojiri kwa kina, kila "mpigania giladi wa JF Ville"
Bonyeza Bonyeza humu humu!:gossip:
 
heheh jamani mie hizi habari za kula break huwa zinanikosha hasa ......very creative and fun! uwe unaleta atleast wiki mara moja
 
Assalam wa Breki!!!

Kazi mdundo- Wakati wa swaumu tutakula Breki!!!


agusta.jpg
 
Nawakumbusheni wakati wa Jambooooo!



attachment.php

:eek2:
 

Attachments

  • tukumbukeSRGMKONO.GIF
    tukumbukeSRGMKONO.GIF
    40.1 KB · Views: 150
Where art thou?
"Two thumbs up!!....ridiculously entertaining, its like a breath of fresh air after a terrible and devastating magnitude # 8 earthquake".........JFVille Post Dispatch.

"insanely inovative.....sura-ya-kwanza is a trend setter".........JFVille Evening News.

"what a talent.....kula breki is a must read"............JFVille Gazzete.

"unbelievable, humour with sense"......JFVille News Tribune.

"reading kula breki is refreshing....."......JFVille Entertainment Weekly.
 
Huyu mwehu angalikuwa hapa wakati huu wa Korona. Nyani Giladi.
 
Waandishi wa Kugandia👀 wametumwa.

Kaa mkao wa Kula Breki!!! (Pozi kwa dakika kwani sio kila kitu sereasi)

JFVille 2nd edition🤧🤧🤧🤧🤧🙆🏿‍♂️😎
 
Waandishi wa Kugandia👀 wametumwa.

Kaa mkao wa Kula Breki!!! (Pozi kwa dakika kwani sio kila kitu sereasi)

JFVille 2nd edition🤧🤧🤧🤧🤧🙆🏿‍♂️😎
Majeshi ya kutumia manguvu waonekana JFreserve Vifaranga vya babu vyaonekana,🤔

Wana Giladi wapanga Mkutanyiko
Pata tosha huko? Hata Yeye a'Nawapenda" Kudadeki
 
Back
Top Bottom