Kuna siku nilikula kuku wa kisasa ilikua jioni asubuhi nikajikuta nimetoka na viupele kama vya kuku baada siku tatu nikaenda kupima wakaniambia ninafangasi kwa akili ya haraka haraka kuna wazo likanijia nikahisi kuku wakisasa huwa wanalishwa fangasi ili wakue kwa haraka kwasaababu kuku wa kisasa wanalishwa vitu vingi sana ambavyo hata vingine huwezi kuvijua na siku zote mfanya biashara anaangalia faida tu.
ulichokitaka umekipata, mitusi si mitusi
kuna siku nilikula kuku wa kisasa ilikua jioni asubuhi nikajikuta nimetoka na viupele kama vya kuku baada siku tatu nikaenda kupima wakaniambia ninafangasi kwa akili ya haraka haraka kuna wazo likanijia nikahisi kuku wakisasa huwa wanalishwa fangasi ili wakue kwa haraka kwasaababu kuku wa kisasa wanalishwa vitu vingi sana ambavyo hata vingine huwezi kuvijua na siku zote mfanya biashara anaangalia faida tu.