hazole1
JF-Expert Member
- Jan 3, 2015
- 4,319
- 3,916
Kuna siku nilikula kuku wa kisasa ilikua jioni, asubuhi nikajikuta nimetoka na viupele kama vya kuku baada siku tatu nikaenda kupima wakaniambia nina fangasi, kwa akili ya haraka haraka kuna wazo likanijia nikahisi kuku wa kisasa huwa wanalishwa fangasi ili wakue kwa haraka kwa sababu kuku wa kisasa wanalishwa vitu vingi sana ambavyo hata vingine huwezi kuvijua na siku zote mfanya biashara anaangalia faida tu.
Na haitakuka kutokea mfanya biashara akaijali afya yako wewe ila swala la kulinda afya yako ni jukumu lako mwenyewe hasa kwa vitu ambavyo unaweza kuviepuka.
Na haitakuka kutokea mfanya biashara akaijali afya yako wewe ila swala la kulinda afya yako ni jukumu lako mwenyewe hasa kwa vitu ambavyo unaweza kuviepuka.