Kula maisha, wkend ndio imeanza

Kula maisha, wkend ndio imeanza

Equation x

JF-Expert Member
Joined
Sep 3, 2017
Posts
33,679
Reaction score
49,841
Hakuna kupika leo, tuingie mtaani, wkend imeanza; wapi kuna vaibu nzuri kwa siku ya leo; kuwepo na laivu bendi yenye mdundo wa taratibu, usiochosha mwili na viungo.

Mi nimeshapiga pamba zangu nyeupe kwa ajili ya kujichanganya na jamii; we unajipanga kwa lipi katika wkend hii?

Maisha ni haya haya na yana mwisho, uwe na mali usiwe na mali lazima ufikie mwisho wako.

Kula maisha...

club.jpg
 
Hakuna kupika leo, tuingie mtaani, wkend imeanza; wapi kuna vaibu nzuri kwa siku ya leo; kuwepo na laivu bendi yenye mdundo wa taratibu, usiochosha mwili na viungo.

Mi nimeshapiga pamba zangu nyeupe kwa ajili ya kujichanganya na jamii; we unajipanga kwa lipi katika wkend hii?

Maisha ni haya haya na yana mwisho, uwe na mali usiwe na mali lazima ufikie mwisho wako.

Kula maisha...

View attachment 3095173
Unakulaje week end wakati mambo vululuvululu?
 
Back
Top Bottom