Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Hii bongo eeehhh tenadariìisaaalaaam.Kipindi wenzenu wanaplan miaka 60 ijayo huku Kuna njemba tangu jumatatu inawaza weekend ikaruke majoka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii bongo eeehhh tenadariìisaaalaaam.Kipindi wenzenu wanaplan miaka 60 ijayo huku Kuna njemba tangu jumatatu inawaza weekend ikaruke majoka.
Achana naye, utakutana na wengine wakali mbele kwa mbele, muhimu kibunda cha kuwanunulia savana kiwepoHapa nilipo nina maumivu hatari, nina kitoto nakikubali ila mambo yake siyaelewi kabisa hata hiyo raha ya wikendi yenyewe siioni
ANasema tandale kwa tumbo kwa mzee tumbo.Toa location
Hiyo ni Afrika nzima mzee.Hii bongo eeehhh tenadariìisaaalaaam.
Ningekuwa nina uwezo wa kuachana nae, sasa hivi ningekuwa mbali.Achana naye, utakutana na wengine wakali mbele kwa mbele, muhimu kibunda cha kuwanunulia savana kiwepo
Hatujaja duniani kushindana, bali tumekuja kuishi, baada ya hapo tuwaachie wengine 😀Kipindi wenzenu wanaplan miaka 60 ijayo huku Kuna njemba tangu jumatatu inawaza weekend ikaruke majoka.
Ukiteketeza unapata akili ya kutafuta kingineEwaaaa....
Kuna mtu anakuja kukuchukua sasa hivi hapo nyumbani, akulete chimbo ule mema ya duniaToa location
Tuma ujumbe kwao ukipata majibu utupage mrejeshoooNa wanao vaa nguo nyeupe kwenye harusi huwa ni maiti?
Huyu mama k huyu, kila mwanaume anamuhitaji 😀 😀Kula bata wakati muda ungalipo.
Msalimie mama K
Amekupa limbwata nini? 😀 😀Ningekuwa nina uwezo wa kuachana nae, sasa hivi ningekuwa mbali.
Sema sio mbaya, ninajipa muda kwanza.
wewe vaa tu tusipangianeNa wanao vaa nguo nyeupe kwenye harusi huwa ni maiti?
Daahh hata sielewi, sema sio limbwata ila ni pisi ya kwendaaa!Amekupa limbwata nini? 😀 😀
Twende ukapate vaibuwewe vaa tu tusipangiane
Anamezwa mtu hapo si muda.🤔Hakuna kupika leo, tuingie mtaani, wkend imeanza; wapi kuna vaibu nzuri kwa siku ya leo; kuwepo na laivu bendi yenye mdundo wa taratibu, usiochosha mwili na viungo.
Mi nimeshapiga pamba zangu nyeupe kwa ajili ya kujichanganya na jamii; we unajipanga kwa lipi katika wkend hii?
Maisha ni haya haya na yana mwisho, uwe na mali usiwe na mali lazima ufikie mwisho wako.
Kula maisha...
View attachment 3095173
Angalia moyo usishindwe kusukuma damuDaahh hata sielewi, sema sio limbwata ila ni pisi ya kwendaaa!
Wadiz vitu vyako hiviHakuna kupika leo, tuingie mtaani, wkend imeanza; wapi kuna vaibu nzuri kwa siku ya leo; kuwepo na laivu bendi yenye mdundo wa taratibu, usiochosha mwili na viungo.
Mi nimeshapiga pamba zangu nyeupe kwa ajili ya kujichanganya na jamii; we unajipanga kwa lipi katika wkend hii?
Maisha ni haya haya na yana mwisho, uwe na mali usiwe na mali lazima ufikie mwisho wako.
Kula maisha...
View attachment 3095173