Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Kateketeze kibunda 😀Vitu nipendavyo " mishangazi"
Leo tutoke wote, tukacheze zilipendwaMh! Tupikeni ndizi jamani ..!
Unakulaje week end wakati mambo vululuvululu?Hakuna kupika leo, tuingie mtaani, wkend imeanza; wapi kuna vaibu nzuri kwa siku ya leo; kuwepo na laivu bendi yenye mdundo wa taratibu, usiochosha mwili na viungo.
Mi nimeshapiga pamba zangu nyeupe kwa ajili ya kujichanganya na jamii; we unajipanga kwa lipi katika wkend hii?
Maisha ni haya haya na yana mwisho, uwe na mali usiwe na mali lazima ufikie mwisho wako.
Kula maisha...
View attachment 3095173
Na wanao vaa nguo nyeupe kwenye harusi huwa ni maiti?unapiga pamba nyeupe umekua maiti?
Leo tutoke wote, tukacheze zilipendwa
Hakuna namna mkuu, maisha ni mafupi, siku ikipita haijirudii, na mbinguni hatuendi na mali.Unakulaje week end wakati mambo vululuvululu?
Ebu njoo unipe kampani nisiborekeWewe ndo huyo umebambia mshangazi?
Sibora uibiwe kwahiyari kuliko kutekwa?Njoo tuchezee nyumbani. Radio ipo na flash ya OTTU jazz!! Huko nje NITAIBIWA ujute wewe !!
Nyumbani hakuna vaibu, twende kwenye vaibu 😀Njoo tuchezee nyumbani. Radio ipo na flash ya OTTU jazz!! Huko nje NITAIBIWA ujute wewe !!
Muimu twende sehemu salama yenye ulinzidj niwekee pombe sio chai by songa
ila usifanye kwichu kwichu
Ewaaaa....Kateketeze kibunda 😀
Toa locationEbu njoo unipe kampani nisiboreke