Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimependa menu yako lakini hiyo siipend bora ngogweNa vingine vingi tuu, ila hiyo pia imo. ππ
Sasa mpenzi nakula kwanza ndo nile au nile kwanza af nitakula nikimaliza?
Kasie, hivi vyombo ulivinunua ukiwa form two mwaka 1980?Ndo kwaanzaaaa tarehe moja....
Mwezi bado mchangaaaa...!
Ndo kwaanzaaaa jumatatu, wiki imeanza hiviii.....
View attachment 1714950
Laaambwaaa laaambwaaaa
Lambwatikaaaaa....
Maharage yako jikoni nimeshayapika....
Nangojea sukari ya bwana, haijafikaaa.
Songea taratibu babaa, utakuta kila kitu tayari.
Kwa Hisani ya Mahadhi ya Pwani π
Kasinde Matata π.
Tulikuwa na sahani kama hizo na vijiko! Au umerithishwa kutoka kwa bibi yako. Mie ni LIHENGA (wa zamani sana)Umejuajeeee....!!!????ππππ
Na wewe ni mhenga....!!???
Wote wanaanzaga na kuogopaNaogopaaaa....!!π
Hahaa haya kula chakula uje kuliwa na wewe usiku.Tena hata sijaweza kumaliza, maana hapo bado sijala tende wala shurbati ya miwa....π
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mpenzi nakula kwanza ndo nile au nile kwanza af nitakula nikimaliza?
Kama ana dimpos ujue ni mlemavu hana meno yote 32