Kula Uliwe .....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Kula Uliwe .....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Kasie wa roho nzuri kitimoto huwa unapika lini nije kudowea dowi?πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰

Jumamosii

Tena huwa napika kitimoto yenye churaa haswaa, ukiwa unaila unashiba mara mbili πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….
 
Sasa mpenzi nakula kwanza ndo nile au nile kwanza af nitakula nikimaliza?

Tangulia bafuni kwanza nikukogeshe halafu mengine yatafuata kulingana na utashi wa ngozi zetu zitavokuwa.....

Zikitaka tule kwanza tutakula, zikitaka tulishane pia itakuwa....πŸ˜….

 
Ndo kwaanzaaaa tarehe moja....

Mwezi bado mchangaaaa...!

Ndo kwaanzaaaa jumatatu, wiki imeanza hiviii.....

View attachment 1714950

Laaambwaaa laaambwaaaa

Lambwatikaaaaa....

Maharage yako jikoni nimeshayapika....

Nangojea sukari ya bwana, haijafikaaa.

Songea taratibu babaa, utakuta kila kitu tayari.

Kwa Hisani ya Mahadhi ya Pwani πŸ˜‰

Kasinde Matata πŸ’‹.
Kasie, hivi vyombo ulivinunua ukiwa form two mwaka 1980?
 
Kasie, hivi vyombo ulivinunua ukiwa form two mwaka 1980?


Umejuajeeee....!!!????πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Na wewe ni mhenga....!!???
 
Umejuajeeee....!!!????πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Na wewe ni mhenga....!!???
Tulikuwa na sahani kama hizo na vijiko! Au umerithishwa kutoka kwa bibi yako. Mie ni LIHENGA (wa zamani sana)
 
Tulikuwa na sahani kama hizo na vijiko! Au umerithishwa kutoka kwa bibi yako. Mie ni LIHENGA (wa zamani sana)

Nilivinunua kwenye gulio miaka hiyooooo
 
Bibi mwenye mahaba yake, [emoji2956][emoji2956][emoji2956]
 
Huyu Kasie ni mtu wa wapi
FB_IMG_16145275891814602.jpg
 
Kibongo bongo hakunaga utaratibu wa ku-retire vyombo?uma na kisu vimekula sana maisha.
 
Back
Top Bottom