Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Kasie ni mtu wa wapiView attachment 1715001
Weee Kasie mahaba weee!!Tangulia bafuni kwanza nikukogeshe halafu mengine yatafuata kulingana na utashi wa ngozi zetu zitavokuwa.....
Zikitaka tule kwanza tutakula, zikitaka tulishane pia itakuwa....[emoji28].
View attachment 1714975
Hhhhh hapana kwa kweli wengine hatuna hela ya kuhongaHuyo ni machinga, bado anatafuta maisha hafai kujihusisha na mapenzi hadi akikuwa na kuongeza kiwango cha kuhonga.
Ila kwa upande wangu, hakuna utamu naupata kama nikitongozwa na nikihongwa hela uuuuhhh [emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39]
Njoo nikukuleKiiiiidoooooleeeeeeeeeeyy....π π π
Babu Pumpkin Ngabuuuuuu......!!!
Weee Kasie mahaba weee!!
Af unajua sikuhizi nimetemgeneza imagination mpya nakuona kama Mbilia bel(yule mwimbaji)..unamjua?,if yes,niko karibu asilimia ngapi?
Weee...usiniambieHakuna kitu sipendi kama kununua vyombo.
Huwa nanunua chombo ambacho ntakaa nacho hadi nakifanyia besdei π
Naona mboga leo imeseti mbogaNdo kwaanzaaaa tarehe moja....
Mwezi bado mchangaaaa...!
Ndo kwaanzaaaa jumatatu, wiki imeanza hiviii.....
View attachment 1714950
Laaambwaaa laaambwaaaa
Lambwatikaaaaa....
Maharage yako jikoni nimeshayapika....
Nangojea sukari ya bwana, haijafikaaa.
Songea taratibu babaa, utakuta kila kitu tayari.
Kwa Hisani ya Mahadhi ya Pwani [emoji6]
Kasinde Matata [emoji182].