Kula Uliwe .....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Kula Uliwe .....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Hujakosea hata.....

Ni ubwabwa usio na mafuta wala chumvi
Na umeiva kwa mvuke, haujatiwa maji hata kidogo.

Kuna wenye fani zao, mapishi. Mie napika kwa nadra sana walau gesi isije ikaeksipaya kabla sijaipikia [emoji12].
Ohoooo Aya Mama !!
 
Ndo kwaanzaaaa tarehe moja....

Mwezi bado mchangaaaa...!

Ndo kwaanzaaaa jumatatu, wiki imeanza hiviii.....

View attachment 1714950

Laaambwaaa laaambwaaaa

Lambwatikaaaaa....

Maharage yako jikoni nimeshayapika....

Nangojea sukari ya bwana, haijafikaaa.

Songea taratibu babaa, utakuta kila kitu tayari.

Kwa Hisani ya Mahadhi ya Pwani πŸ˜‰

Kasinde Matata πŸ’‹.
Msosi huo
 
Aahahahahahhahaa

Usiniambie umemshindwa.....

Kuna mawili, nimrudishe mjukuu unyagoni au nikirudishe wewe jandoni kwa babu ODM Asprin πŸ€ͺ.
Mrudishe binti yetu tumtafutie mwanaume mwingine wa kafanana naye...

BTW... mwambie kabisa huyo mzembe... haturudishi hata senti moja ya kishika uchumba
 
Chakula kilikuwa kitamu ila hakizidi mpishi!
 
Ndo kwaanzaaaa tarehe moja....

Mwezi bado mchangaaaa...!

Ndo kwaanzaaaa jumatatu, wiki imeanza hiviii.....

View attachment 1714950

Laaambwaaa laaambwaaaa

Lambwatikaaaaa....

Maharage yako jikoni nimeshayapika....

Nangojea sukari ya bwana, haijafikaaa.

Songea taratibu babaa, utakuta kila kitu tayari.

Kwa Hisani ya Mahadhi ya Pwani πŸ˜‰

Kasinde Matata πŸ’‹.
Kwetu sisi ni takataka, tunakula Ugali wa udaga na Sato
 
Back
Top Bottom