Kula Uliwe .....πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜‹

Kasie wa roho nzuri kitimoto huwa unapika lini nije kudowea dowi?πŸ˜‰πŸ˜‰πŸ˜‰

Jumamosii

Tena huwa napika kitimoto yenye churaa haswaa, ukiwa unaila unashiba mara mbili πŸ˜‹πŸ˜‹πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜….
 
Sasa mpenzi nakula kwanza ndo nile au nile kwanza af nitakula nikimaliza?

Tangulia bafuni kwanza nikukogeshe halafu mengine yatafuata kulingana na utashi wa ngozi zetu zitavokuwa.....

Zikitaka tule kwanza tutakula, zikitaka tulishane pia itakuwa....πŸ˜….

Your browser is not able to display this video.
 
Kasie, hivi vyombo ulivinunua ukiwa form two mwaka 1980?
 
Kasie, hivi vyombo ulivinunua ukiwa form two mwaka 1980?


Umejuajeeee....!!!????πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Na wewe ni mhenga....!!???
 
Umejuajeeee....!!!????πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

Na wewe ni mhenga....!!???
Tulikuwa na sahani kama hizo na vijiko! Au umerithishwa kutoka kwa bibi yako. Mie ni LIHENGA (wa zamani sana)
 
Tulikuwa na sahani kama hizo na vijiko! Au umerithishwa kutoka kwa bibi yako. Mie ni LIHENGA (wa zamani sana)

Nilivinunua kwenye gulio miaka hiyooooo
 
Bibi mwenye mahaba yake, [emoji2956][emoji2956][emoji2956]
 
Kibongo bongo hakunaga utaratibu wa ku-retire vyombo?uma na kisu vimekula sana maisha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…