Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi


She should have invested in buying brains Kama akili za kwake hazifanyi kazi angenunua wenye akili akawaajili wakamuendeshea biashara yeye anasimamia kwa mbali
 
Biashara ya kusubiri kodi kila mwisho wa mwenzi kwa maisha yake bado isingewezekana, angeuza. Yeye alitakiwa biashara ya bidhaa ya kila siku
Angetengeneza brand name yake katika vitu vya kila siku katika matumizi ya binadamu.
 
She should have invested in buying brains Kama akili za kwake hazifanyi kazi angenunua wenye akili akawaajili wakamuendeshea biashara yeye anasimamia kwa mbali
Biashara inahitaji usimamizi hasa ikiwa changa. Na pia unatakiwa kubana matumizi ili ikue. Bila hivi lazima kufa tuuu. Labda kiwanda ndo kinahitaji professionals katika kukiendesha.
 
She should have invested in buying brains Kama akili za kwake hazifanyi kazi angenunua wenye akili akawaajili wakamuendeshea biashara yeye anasimamia kwa mbali

Lazima na wewe uwe nazo kidogo za biashara kama kina bakharesa hawajasoma ila walikua na akili ya biashara sasa wameajira wasaidizi walosoma kusaidiana mawazo
 
Mimi,ww ni YEYE upo deep mkuu
 
anae muhindi mwenzie, lakini anapendelea zaidi damu za kiafrica
Once you go black u ain't come back.

Nakumbuka kwenye Django unchained pale de caprio akimwambia Dr king Schultz "be careful utamu utakopata hapo unaweza potea"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Ndio maana ukioa au kuolewa na tajiri, usijione na wewe ni tajiri, hizo ni akili za kindezi.
 
Mwisho wa siku mali za kurithi ni ubatili mtupu!

Pambana. Tafuta vyako. Kwa sisi waAfrika..ukiwa Tajiri...ni vizuri mali zako ukarithisha kanisa, taasisi za kijamii kama mashule nk. zisaidie wenye uhitaji.....kuwaachia ndugu...mwisho wa siku unaacha lawama na ugomvi usioisha. Na kibaya warithi wengi hawajui mali ilitafutwa vipi.
 
Yanakuhusuu?

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Arudi kwenye udangaji atuonjeshe na sisi alivyomuonje mzee(RIP) Hadi akachanganyika akafuga ndefu za mvi[emoji4]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] Noma ndevu za mvi
 
Ningependa kujua jinsia yako
 
SO what if
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…