Yeye akili ya biashara haya na pia watu wakumbuke biashara ni kipaji kama huna hicho kipaji hata upewe mabilioni yatakufa tu.. ingekua ni mimi nina akili kama hizo zake ninge invest tu kwenye property tu angekua na apartment zake kama 20 ligorofa limoja bs anakusanya kodi biashara haina upasua kichwa na ufatiliaji rahisi
Mi nafikiri kuoa mzungu ni taabu kwelikweli. We fikiria vile ndio umerudi kutoka kazini umechoka halafu tena uanze kuongea kiingereza. Dah!
Biashara ya kusubiri kodi kila mwisho wa mwenzi kwa maisha yake bado isingewezekana, angeuza. Yeye alitakiwa biashara ya bidhaa ya kila sikuYeye akili ya biashara haya na pia watu wakumbuke biashara ni kipaji kama huna hicho kipaji hata upewe mabilioni yatakufa tu.. ingekua ni mimi nina akili kama hizo zake ninge invest tu kwenye property tu angekua na apartment zake kama 20 ligorofa limoja bs anakusanya kodi biashara haina upasua kichwa na ufatiliaji rahisi
Biashara inahitaji usimamizi hasa ikiwa changa. Na pia unatakiwa kubana matumizi ili ikue. Bila hivi lazima kufa tuuu. Labda kiwanda ndo kinahitaji professionals katika kukiendesha.She should have invested in buying brains Kama akili za kwake hazifanyi kazi angenunua wenye akili akawaajili wakamuendeshea biashara yeye anasimamia kwa mbali
She should have invested in buying brains Kama akili za kwake hazifanyi kazi angenunua wenye akili akawaajili wakamuendeshea biashara yeye anasimamia kwa mbali
[emoji23][emoji23][emoji23] Buying brains.She should have invested in buying brains Kama akili za kwake hazifanyi kazi angenunua wenye akili akawaajili wakamuendeshea biashara yeye anasimamia kwa mbali
Ha haa kuna comment za ajabu sana aisee!Mimi mwanaume mzima siwezi nunua kabichi niibebe mkononi.
Heri niipige danadana mpka nyumbani
Mimi,ww ni YEYE upo deep mkuuYes nyumba zina majina ya IPP kwa hiyo hawezi kuuza wala kuchukulia mkopo , na anakaa bure halipi kodi , familia Ya mzee Mengi ilimpa nyumba ya Machame , kinondoni na magari yote ya marehemu ndio hayo ameanza kuuza
Na pia nyumba zote mbili Machame na kinondoni ni kubwa sana maintenance ya zile nyumba ni lazima uwe tajiri kweli kweli Umeme, maji , wafanyakazi na vinginevyo zimeshaanza kumshinda
sasa bibie alilalamika hela Haitoshi Anayopewa ni ndogo haitoshi maintenance akaambiwa kwa Sababu upo wewe na watoto wawili nyumba kubwa sana kaa kwenye apartment akakataa anataka the same life style Kama mzee Mengi alivyokuepo of which hakuna mtu ataekubali kugharamia starehe zake
Once you go black u ain't come back.anae muhindi mwenzie, lakini anapendelea zaidi damu za kiafrica
Labda nae alikuwa na nye.ge anataka ku.tiwa...Kuna mwanangu kamla Ant Ezekiel kwa 100,000 majuzi ... Hawa mastaa ukiwaona Instagram utapagwa.
NakataaKuna mwanangu kamla Ant Ezekiel kwa 100,000 majuzi ... Hawa mastaa ukiwaona Instagram utapagwa.
Nakataa
Washkaji huwa saundi nyingi waonekane wajanja kuwa wameshafunua mwanamke fulani
Acha kabisa..wabongo ni something else aiseewabongo ni nyoko
Yanakuhusuu?Katika Interview ya Jacky & Millard ayo, Jack alisema watoto wakubwa wanaendesha makampuni ya zamani, IPP media na bonite na ndo makampuni yenye hela nyingi, bhas inaonekana huyu Jacky mengi hata kuweka hela ya mafuta na service kwenye range yake au v8 yake anamtegemea Regina atume hela ya watoto kila mwezi na yeye achukue hapo chake. Ingawa Jacky ndio anawasema vibaya akina Regina mitandaoni na mdogo wa mengi Mr. Benjamin.
Siku Regina na Abdiel wakikata mirija ya pesa inayoenda kwa Jacky, bhasi baada ya miaka mitano itabidi Jacky aanze kupanda daladala.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] Noma ndevu za mviArudi kwenye udangaji atuonjeshe na sisi alivyomuonje mzee(RIP) Hadi akachanganyika akafuga ndefu za mvi[emoji4]
Ningependa kujua jinsia yakoKatika Interview ya Jacky & Millard ayo, Jack alisema watoto wakubwa wanaendesha makampuni ya zamani, IPP media na bonite na ndo makampuni yenye hela nyingi, bhas inaonekana huyu Jacky mengi hata kuweka hela ya mafuta na service kwenye range yake au v8 yake anamtegemea Regina atume hela ya watoto kila mwezi na yeye achukue hapo chake. Ingawa Jacky ndio anawasema vibaya akina Regina mitandaoni na mdogo wa mengi Mr. Benjamin.
Siku Regina na Abdiel wakikata mirija ya pesa inayoenda kwa Jacky, bhasi baada ya miaka mitano itabidi Jacky aanze kupanda daladala.
SO what ifKatika Interview ya Jacky & Millard ayo, Jack alisema watoto wakubwa wanaendesha makampuni ya zamani, IPP media na bonite na ndo makampuni yenye hela nyingi, bhas inaonekana huyu Jacky mengi hata kuweka hela ya mafuta na service kwenye range yake au v8 yake anamtegemea Regina atume hela ya watoto kila mwezi na yeye achukue hapo chake. Ingawa Jacky ndio anawasema vibaya akina Regina mitandaoni na mdogo wa mengi Mr. Benjamin.
Siku Regina na Abdiel wakikata mirija ya pesa inayoenda kwa Jacky, bhasi baada ya miaka mitano itabidi Jacky aanze kupanda daladala.