Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi

Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi

Yeye akili ya biashara haya na pia watu wakumbuke biashara ni kipaji kama huna hicho kipaji hata upewe mabilioni yatakufa tu.. ingekua ni mimi nina akili kama hizo zake ninge invest tu kwenye property tu angekua na apartment zake kama 20 ligorofa limoja bs anakusanya kodi biashara haina upasua kichwa na ufatiliaji rahisi

She should have invested in buying brains Kama akili za kwake hazifanyi kazi angenunua wenye akili akawaajili wakamuendeshea biashara yeye anasimamia kwa mbali
 
Yeye akili ya biashara haya na pia watu wakumbuke biashara ni kipaji kama huna hicho kipaji hata upewe mabilioni yatakufa tu.. ingekua ni mimi nina akili kama hizo zake ninge invest tu kwenye property tu angekua na apartment zake kama 20 ligorofa limoja bs anakusanya kodi biashara haina upasua kichwa na ufatiliaji rahisi
Biashara ya kusubiri kodi kila mwisho wa mwenzi kwa maisha yake bado isingewezekana, angeuza. Yeye alitakiwa biashara ya bidhaa ya kila siku
Angetengeneza brand name yake katika vitu vya kila siku katika matumizi ya binadamu.
 
She should have invested in buying brains Kama akili za kwake hazifanyi kazi angenunua wenye akili akawaajili wakamuendeshea biashara yeye anasimamia kwa mbali
Biashara inahitaji usimamizi hasa ikiwa changa. Na pia unatakiwa kubana matumizi ili ikue. Bila hivi lazima kufa tuuu. Labda kiwanda ndo kinahitaji professionals katika kukiendesha.
 
She should have invested in buying brains Kama akili za kwake hazifanyi kazi angenunua wenye akili akawaajili wakamuendeshea biashara yeye anasimamia kwa mbali

Lazima na wewe uwe nazo kidogo za biashara kama kina bakharesa hawajasoma ila walikua na akili ya biashara sasa wameajira wasaidizi walosoma kusaidiana mawazo
 
Yes nyumba zina majina ya IPP kwa hiyo hawezi kuuza wala kuchukulia mkopo , na anakaa bure halipi kodi , familia Ya mzee Mengi ilimpa nyumba ya Machame , kinondoni na magari yote ya marehemu ndio hayo ameanza kuuza

Na pia nyumba zote mbili Machame na kinondoni ni kubwa sana maintenance ya zile nyumba ni lazima uwe tajiri kweli kweli Umeme, maji , wafanyakazi na vinginevyo zimeshaanza kumshinda

sasa bibie alilalamika hela Haitoshi Anayopewa ni ndogo haitoshi maintenance akaambiwa kwa Sababu upo wewe na watoto wawili nyumba kubwa sana kaa kwenye apartment akakataa anataka the same life style Kama mzee Mengi alivyokuepo of which hakuna mtu ataekubali kugharamia starehe zake
Mimi,ww ni YEYE upo deep mkuu
 
anae muhindi mwenzie, lakini anapendelea zaidi damu za kiafrica
Once you go black u ain't come back.

Nakumbuka kwenye Django unchained pale de caprio akimwambia Dr king Schultz "be careful utamu utakopata hapo unaweza potea"[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
IMG_1977.jpg

Regina bado boss awe mpolee tuu
 
Ndio maana ukioa au kuolewa na tajiri, usijione na wewe ni tajiri, hizo ni akili za kindezi.
 
Mwisho wa siku mali za kurithi ni ubatili mtupu!

Pambana. Tafuta vyako. Kwa sisi waAfrika..ukiwa Tajiri...ni vizuri mali zako ukarithisha kanisa, taasisi za kijamii kama mashule nk. zisaidie wenye uhitaji.....kuwaachia ndugu...mwisho wa siku unaacha lawama na ugomvi usioisha. Na kibaya warithi wengi hawajui mali ilitafutwa vipi.
 
Katika Interview ya Jacky & Millard ayo, Jack alisema watoto wakubwa wanaendesha makampuni ya zamani, IPP media na bonite na ndo makampuni yenye hela nyingi, bhas inaonekana huyu Jacky mengi hata kuweka hela ya mafuta na service kwenye range yake au v8 yake anamtegemea Regina atume hela ya watoto kila mwezi na yeye achukue hapo chake. Ingawa Jacky ndio anawasema vibaya akina Regina mitandaoni na mdogo wa mengi Mr. Benjamin.

Siku Regina na Abdiel wakikata mirija ya pesa inayoenda kwa Jacky, bhasi baada ya miaka mitano itabidi Jacky aanze kupanda daladala.
Yanakuhusuu?

Sent from my SM-T285 using JamiiForums mobile app
 
Arudi kwenye udangaji atuonjeshe na sisi alivyomuonje mzee(RIP) Hadi akachanganyika akafuga ndefu za mvi[emoji4]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23] Noma ndevu za mvi
 
Katika Interview ya Jacky & Millard ayo, Jack alisema watoto wakubwa wanaendesha makampuni ya zamani, IPP media na bonite na ndo makampuni yenye hela nyingi, bhas inaonekana huyu Jacky mengi hata kuweka hela ya mafuta na service kwenye range yake au v8 yake anamtegemea Regina atume hela ya watoto kila mwezi na yeye achukue hapo chake. Ingawa Jacky ndio anawasema vibaya akina Regina mitandaoni na mdogo wa mengi Mr. Benjamin.

Siku Regina na Abdiel wakikata mirija ya pesa inayoenda kwa Jacky, bhasi baada ya miaka mitano itabidi Jacky aanze kupanda daladala.
Ningependa kujua jinsia yako
 
Katika Interview ya Jacky & Millard ayo, Jack alisema watoto wakubwa wanaendesha makampuni ya zamani, IPP media na bonite na ndo makampuni yenye hela nyingi, bhas inaonekana huyu Jacky mengi hata kuweka hela ya mafuta na service kwenye range yake au v8 yake anamtegemea Regina atume hela ya watoto kila mwezi na yeye achukue hapo chake. Ingawa Jacky ndio anawasema vibaya akina Regina mitandaoni na mdogo wa mengi Mr. Benjamin.

Siku Regina na Abdiel wakikata mirija ya pesa inayoenda kwa Jacky, bhasi baada ya miaka mitano itabidi Jacky aanze kupanda daladala.
SO what if
 
Back
Top Bottom