Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi

Masikini siku zote humwesabia tajiri aiki za kufilisika
 
I feel sorry for her, atamu miss company maana kylin vitu vingi kashauza sioni hata movement za marafiki zake
 
Sikuhizi hata hela ya saluni inamsumbua, ingetakiwa awe mjanja kutafta miradi yake pembeni na sio kutegemea ku temper Mambo ya urithi, na mbaya zaidi alichokosea Ni kusambaza hyo mirathi na kuwachafuq watoto wakubwa wa mengi, na sikuhizi anatoka na Mo dewji loh namhurumia kweli
 
Hyo nyumba anayoishi Ni ya kampuni sio ya mengi though hutoa Kodi na kulipia pia kapunguza wafanyakazi baada ya kushindwa kuwalipa, that's according to wambeya wa Instagram
 
Tatizo akili ya kuwekeza sio kila mtu anayo
 
Hyo nyumba anayoishi Ni ya kampuni sio ya mengi though hutoa Kodi na kulipia pia kapunguza wafanyakazi baada ya kushindwa kuwalipa, that's according to wambeya wa Instagram

Kwani iyo kampuni inamilikiwa na nani cariha
 
Shida biashara yake Ali target high class people lazima tu idorore, tofauti na kuanzisha biashara inayotumiwa na watu wengi
Ndo alipo fail mama wawili hapo tyuuuh, ange plan biashara ambayo hata mwajuma ndala ndefu au John kaptura kiraka wanachangia sent zao, ange ivest pakubwa mnooh.
 
Hyo nyumba anayoishi Ni ya kampuni sio ya mengi though hutoa Kodi na kulipia pia kapunguza wafanyakazi baada ya kushindwa kuwalipa, that's according to wambeya wa Instagram

Yes nyumba zina majina ya IPP kwa hiyo hawezi kuuza wala kuchukulia mkopo , na anakaa bure halipi kodi , familia Ya mzee Mengi ilimpa nyumba ya Machame , kinondoni na magari yote ya marehemu ndio hayo ameanza kuuza

Na pia nyumba zote mbili Machame na kinondoni ni kubwa sana maintenance ya zile nyumba ni lazima uwe tajiri kweli kweli Umeme, maji , wafanyakazi na vinginevyo zimeshaanza kumshinda

sasa bibie alilalamika hela Haitoshi Anayopewa ni ndogo haitoshi maintenance akaambiwa kwa Sababu upo wewe na watoto wawili nyumba kubwa sana kaa kwenye apartment akakataa anataka the same life style Kama mzee Mengi alivyokuepo of which hakuna mtu ataekubali kugharamia starehe zake
 
Tatizo huyo dada alileta tamaa..
Angekubali kwenda sawa na hao watoto wake angefanikiwa
Sent from my SM-G928F using JamiiForums mobile app
 

Umejuaje kuwa jacky ameshauza magari ya mzee mengi Mimi.
 
Regina ni ex wa.Jacky
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…