Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Duuh mzee alipigwa Basi[emoji2]2m mbona nyingi Kuna mshikaji wangu kamla kwa laki5...hata hivyo ndivyo wanavyoishi mastaa wa kike
Samahàni dia kama nimekukwaza ,pia angekukula wala hakuna shida . mana ungekuwa Umeliwa na Billionaire wa Tanzania na sio kama sie tunaokaa huku Igogo MwanzaHata angenila Mimi shida yako nini ? Uliniazima vitundu?😪unataka na wewe ukampe?
Fake life lazima uumie sehemu za siriWanadrive ndinga Kali...hatari...kumbe mo naye wamo
Ni kitu gani?Amorettte ipo?
Umesahau kuwa yule ni muhaya?!Shida biashara yake Ali target high class people lazima tu idorore, tofauti na kuanzisha biashara inayotumiwa na watu wengi
Atamuuwa na modewji sasaSikuhizi hata hela ya saluni inamsumbua, ingetakiwa awe mjanja kutafta miradi yake pembeni na sio kutegemea ku temper Mambo ya urithi, na mbaya zaidi alichokosea Ni kusambaza hyo mirathi na kuwachafuq watoto wakubwa wa mengi, na sikuhizi anatoka na Mo dewji loh namhurumia kweli
Hela ya shetani haifai kuwa mtajiSijui kwa nini hela za kudanga huwa hazidumu kabisa au kwa kuwa wahongaji wengi vyanzo vyao vya fedha huwa ni vya kiibilisi ibilisi
Upo huku MkuuDuh..kweli mm nasindikiza watu kuishi ..hii ndo naisikis hapa...duh Misa na mo!!
Hahahaha my dear kwakweli tupumzike na kina NEC .tunapitwa na mengi...mjini pazuri Sana...namuonaga Mo Kama mstaarabu Fulani hee .kumbe walewaleUpo huku Mkuu
Acha tusafishe macho ni habari zaidi ya bbc na cnn kha! Siasa ngoja kidogo maanaaa akili zimesinzia mioyo ipo Juu mara wajumbe mara watia nia mara wateuliwa wamekatwa fomu sijui zimefanya nini pingamizi kubutuliwa kutupilia mbali na mengineyo....... Ngoja tufaudu habari moto moto za mjini
Moooooo mmmh hatareee
Kuishi kwingi ni kuona mengi
Sidhani MkuuAtamuuwa na modewji sasa
Hahaaa Ila alijisahau sana una date na mzee mda wake uko jioni lazima kujipanga, kudanga kwenyewe Kuna umri Sasa mda ukienda utajutaUmesahau kuwa yule ni muhaya?!
Inamtosha kula kuku, kula bata haitoshiSasa watoto anasomeshewa tena IST na allowance ya Usd 2000 kwa mwezi ni karibu milioni 5 hiyo.. sasa milioni 5 kila mwezi kwa maisha ya kibongo kitunguu kisado hakifiki hata 5000 milioni 5 nyingi sana hata branch manager wa benk halipwi net hiyo kwa mwezi... yaani hiyo kula tu maana nyumba anaishi ya mume wake bado hakuna kodi.
Child support tu inamtosha kula bata yeye na watoto wake. Maana ni kubwa sana kwa maisha ya kibongo
Misa alijifanya shabiki wa Simba Mara uwanjani kumbe ana muwinda Mo, baada ya Mo kumtumia mpalange wake na alichotegemea na ushabiki kaacha kabisaDuh..kweli mm nasindikiza watu kuishi ..hii ndo naisikis hapa...duh Misa na mo!!
Kafanyaje tena hahahaHahahaha my dear kwakweli tupumzike na kina NEC .tunapitwa na mengi...mjini pazuri Sana...namuonaga Mo Kama mstaarabu Fulani hee .kumbe walewale
Dah hatari Sana hiiWatu wenye hela za utata za majoka huwa hawaongi kwenye mapenzi Ni kinyume na kanuni.
Mo ana hela za majoka? Mkuu yule si ana maviwanda na mamiradi kibao?Watu wenye hela za utata za majoka huwa hawaongi kwenye mapenzi Ni kinyume na kanuni.