Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi

Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi

Hata angenila Mimi shida yako nini ? Uliniazima vitundu?😪unataka na wewe ukampe?
Samahàni dia kama nimekukwaza ,pia angekukula wala hakuna shida . mana ungekuwa Umeliwa na Billionaire wa Tanzania na sio kama sie tunaokaa huku Igogo Mwanza
 
Sikuhizi hata hela ya saluni inamsumbua, ingetakiwa awe mjanja kutafta miradi yake pembeni na sio kutegemea ku temper Mambo ya urithi, na mbaya zaidi alichokosea Ni kusambaza hyo mirathi na kuwachafuq watoto wakubwa wa mengi, na sikuhizi anatoka na Mo dewji loh namhurumia kweli
Atamuuwa na modewji sasa
 
Duh..kweli mm nasindikiza watu kuishi ..hii ndo naisikis hapa...duh Misa na mo!!
Upo huku Mkuu
Acha tusafishe macho ni habari zaidi ya bbc na cnn kha! Siasa ngoja kidogo maanaaa akili zimesinzia mioyo ipo Juu mara wajumbe mara watia nia mara wateuliwa wamekatwa fomu sijui zimefanya nini pingamizi kubutuliwa kutupilia mbali na mengineyo....... Ngoja tufaudu habari moto moto za mjini
Moooooo mmmh hatareee
Kuishi kwingi ni kuona mengi
 
Upo huku Mkuu
Acha tusafishe macho ni habari zaidi ya bbc na cnn kha! Siasa ngoja kidogo maanaaa akili zimesinzia mioyo ipo Juu mara wajumbe mara watia nia mara wateuliwa wamekatwa fomu sijui zimefanya nini pingamizi kubutuliwa kutupilia mbali na mengineyo....... Ngoja tufaudu habari moto moto za mjini
Moooooo mmmh hatareee
Kuishi kwingi ni kuona mengi
Hahahaha my dear kwakweli tupumzike na kina NEC .tunapitwa na mengi...mjini pazuri Sana...namuonaga Mo Kama mstaarabu Fulani hee .kumbe walewale
 
Sasa watoto anasomeshewa tena IST na allowance ya Usd 2000 kwa mwezi ni karibu milioni 5 hiyo.. sasa milioni 5 kila mwezi kwa maisha ya kibongo kitunguu kisado hakifiki hata 5000 milioni 5 nyingi sana hata branch manager wa benk halipwi net hiyo kwa mwezi... yaani hiyo kula tu maana nyumba anaishi ya mume wake bado hakuna kodi.
Child support tu inamtosha kula bata yeye na watoto wake. Maana ni kubwa sana kwa maisha ya kibongo
Inamtosha kula kuku, kula bata haitoshi
 
Back
Top Bottom