Kula ya Jacqueline Mengi hapa mjini inamtegemea Regina na Abdiel Mengi

Ukiliwa.na bilionea wa Tanzania halafu ukaachiwa Kama.100k Ni sawa na kuliwa na dulla makabila[emoji2]
Kuna ile fleva ambayo slei kwini anaipata kutembea na bilionea I.e MTU maarufu bila hata ya kumpatia buku mkuu anaenjoi sana. Uelewe wenye Hela ama maarufu kama mond dia haoengi ila sie huku ndio tunaojitutumua kuhonga. Ila hao maarufu wanawindwa na wadada mazuri mazuri wenyewe wanajipeleka kuliwa kiroho safi.
Unadhani MTU kama waziri ama raisi kuna haja ya kuhonga? Kwanza binti anaweza akapigana na akatumia nguvu nyingi ili aliwe naye
 
Kwahio kuliwa na Steve nyerere bila hela Ni Bora kuliko kuliwa na mazigazi ukapewa 100k
 
Mkuu umeongea akili yangu kabisa. Katika kanuni za biashara sijawahi kusoma hiki kipengele ila field nimekutana nacho kama changamoto.

Biashara yeyote inatakiwa iegame katika Leads & prospects. Ila hao prospects lazima u win interests zao kupitia mikakati thabiti ya kibiashara ili waje kuwa leads.

Ikitokea prospects wanakuwa ni ndugu, jamaa na marafiki zako tu jua sustainability ya biashara ni ndogo. Wateja wako lazma wawe general public! Watu baki ndio wawe wateja wako ila ikiwa biashara unategemea company za marafiki tu na upepo wa sponsor jua siku akiwa hayupo na biashara haitaendelea kuwepo.

Watu waje wanunue sababu wamependa huduma na bidhaa sio sababu biashara ni ya flani πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!
 
Hapo ndipo unafiki wa mashosti utapodhihirika πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚!!! Maana hata sie wakiume tukishakosaga ramani tunatengwa mpaka vijiweni huko. Unashangaa wana hawakupigii tena simu. πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ mara ghafla unawahi kwa mkeo bar hakuendeki! Pesa shetani kmmmke inaletaga marafiki wengi na maadui pia.
I feel sorry for her, atamu miss company maana kylin vitu vingi kashauza sioni hata movement za marafiki zake
 
Dah, akubali tu kuwa life limechange aje kitaa tumpe ramani
 
Ndo alipo fail mama wawili hapo tyuuuh, ange plan biashara ambayo hata mwajuma ndala ndefu au John kaptura kiraka wanachangia sent zao, ange ivest pakubwa mnooh.
Yani mara elfu angefungua sheli zake na kampuni ya Bima kisha akawa anakatia gari za bonite na kampuni nyingine bima angekuwa analokota pesa tu huku kwenye mafuta ndio usiseme.

Kwa sasa ajiwahi na Supermarket na vibanda vya M-PESA tu ale commission kabla hela ya ile range rover haijaisha. Atatia huruma mjini πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ huyu
 
Hizo bei sio kwa masaki mkuu! Watu wanaishi kule hawasogezi siku! Hiko kisado utakitoa wapi kule vitungu wananunua supermarket πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na sio ajabu bundle la nusu kilo likauzwa 20K!
 
Si umesikia anatoka na bil MO, huenda atakuwa anampa supports.
 
Namhurumia vile alizoea maisha expensive mjini Mara vacation sijui wapi, Mo mbona naskia Ni bahili haongagi eti
Muhindi yule🀣🀣🀣!!! We uliskia wapi muhindi anatapanya mali na pesa hovyo!

Kuhusu kwenda buza kwa mpalange hilo sina doubt.
 
Hizo bei sio kwa masaki mkuu! Watu wanaishi kule hawasogezi siku! Hiko kisado utakitoa wapi kule vitungu wananunua supermarket πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ na sio ajabu bundle la nusu kilo likauzwa 20K!

Tunadanganyana sana... nimekaa sana masaki kota za bandari... watu wengi wa masaki vitu wananunua sokoni kama watu wa sehemu zingine.. wabongo hatuna utamaduni wa supermarket... na hata super market nyingi za masaki na oysterbay wame target wazungu sababu ndio wana culture ya supermarket.. masaki ipo karibu sana na msasani ni mwendo wa mguu tu.. magenge yapo kibao msasani vitu bei kama ya mbagala tu..

Watu wanaoishi masaki wanatumia masoko yao yale yale ambao wenzao wananunua wanaokaa popote.. mfano wazawa wengi wananua vitu kariakoo na magengeni kama kawa.. wahindi wengi wa masaki wananua vitu kisutu na wazungu ndio wananunua supermarkets
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…