Mimi.
JF-Expert Member
- Sep 7, 2011
- 2,120
- 3,059
Weee thubutuuuuu, umechanganyaNi kama aliwahi kuwa na duka la nguo dubai au nimechanganya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weee thubutuuuuu, umechanganyaNi kama aliwahi kuwa na duka la nguo dubai au nimechanganya
Nasikia kashauza iyo ya furniture
Ameuza hiyo company Na hela amekula zimeisha mpaka magari alikua anauza ya urithi
siku hizi naona anafundisha wana Instagram interior designing online unalipia sh ngapi sijui naona ndio apate hela ya kuongezea kula bata zake , maisha haya😀😀😀
Tembelea Twitter yake huwa anatuma matangazo.Z
ziko wapi hizo biashara za nguo tukamuunge mkono Mjane wa Taifa😢😢😢
HahaaMi nafikiri kuoa mzungu ni taabu kwelikweli. We fikiria vile ndio umerudi kutoka kazini umechoka halafu tena uanze kuongea kiingereza. Dah!
HahaaAu akupeleke kwao na wakwe wakusute Kiingereza, duniani tumeumbiwa mateso.
Mimi sijamuelewaKama huna cha kufanya upo sahihi la sivyo fanya yanayokuhusu.
Atakuwa anataka kuwa social media influencer au kama vip afungue tuu chuo afundishe watu iyo interior designAmeuza hiyo company Na hela amekula zimeisha mpaka magari alikua anauza ya urithi
siku hizi naona anafundisha wana Instagram interior designing online unalipia sh ngapi sijui naona ndio apate hela ya kuongezea kula bata zake , maisha haya😀😀😀
Inaweza kuwa ina sound hivyo lakini sasa mwenye mali baba ndio amachagua hapo.......ndio mama huyo tana
Sema huyu demu naye mshamba sana unaishi na mzee kama yule na unaona kabisa jua limeisha chwea unashindwaje kumpanga ukawa na miradi yako pembeni ya maana hata likizama basi unaendelea na maisha vizuri wakati unadai urithi wa mumeo
Kakaa kiboyo sasa hivi hata hela ya mafuta kwa gari mtihani hadi wakina Regina wamfikirie
Anaishia kulia lia kwenye media wakati nafasi kaichezea mwenyewe
Golddigger gani kolo namna hii
Aiseee haya mambo kumbe bado yapo.? Jaq ana biashara zake yule dada za urembo/nguo , i don't think kama anamtegemea 100 pasee Regina/Abdiel ,halafu Jaq hawezi kukosa danga la kumpa mikwanja hapa town.
Kauza biashara imeshamshinda
Biashara za urembo nguo !? Ziko wp au unafanya nae wewe
😂😂😂😂😂Mimi mwanaume mzima siwezi nunua kabichi niibebe mkononi.
Heri niipige danadana mpka nyumbani
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji2][emoji3][emoji3][emoji2][emoji3][emoji3][emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mimi mwanaume mzima siwezi nunua kabichi niibebe mkononi.
Heri niipige danadana mpka nyumbani