Na hapo kadri wanavyozidi kuishi pamoja ndivyo na mda wa kusex unavyozidi kupungua pia
Raha gani ,, piga nyeto ulale weweLaki tuongee ukweli kuna ka raha ukioa jaman tusiwe wanafiki [emoji23]
Ahaha kwanini nichoshe misuli wakat utelez upoRaha gani ,, piga nyeto ulale wewe
Chukua ufanyie kaziAhsante sana kwa muongozo
Hatufiki uko bhnaMwanzoo mkizoeana shida
Mikono haiwezi kukusaliti ikaenda mpigisha nyeto mtu mwngneAhaha kwanini nichoshe misuli wakat utelez upo
Unataka kusema nini?Mikono haiwezi kukusaliti ikaenda mpigisha nyeto mtu mwngne
Kufanya sex ni kama kula tu, japo chips kuku ni tamu ila ukipikiwa siku 30 tu za mwezi mmoja mwanzoni utakuwa unazila sana ila itafikia siku kadhaa ile hamu inaisha automatically unadokoa 2/3 unaacha.Nan kasema
Mbona unanitisha te aKufanya sex ni kama kula tu, japo chips kuku ni tamu ila ukipikiwa siku 30 tu za mwezi mmoja mwanzoni utakuwa unazila sana ila itafikia siku kadhaa ile hamu inaisha automatically unadokoa 2/3 unaacha.
Ahahah mim nataka watoto bhnaKama unaoa ili ugonge mzigo basi utapata tabu sana
What a Quote [emoji106]Ndoa ni upendo unaobakia baada ya kuchoka kingono
Hahaha!! sawa sawaSana af ana kamacho fulani so amezing
Hahaha!! sawa sawa
Nimeona mkuuWew ujaona
Ikiutokea kinyume chake ,uje na mkolezo huo wa maandishiNdoa ni upendo unaobakia baada ya kuchoka kingono
hapo sasa unakuja kwenye sawala la hitaji la mtu mmoja mmoja kila mtu ana hitaji lake katika maisha ,tukubali kuwa hitaji na vipaumbele ni vya mtu binafsi,hakuna sehemu nimeandika sex ni hiari, nimeanisha makadirio ya muda utakayotumia kusex na mwenzi wako, kiuhalisia ni mdogo sana ukilinganisha na muda mtakaofanya mambo mengine, hivi ujasikia mtu anaambiwa yule kaolea nyege tu, unadhani ni kwanini inasemwa hivyo
Umetoa namba Tubado hujakua kiakili, tufanye unasex mara nne kwa wiki na kila ukisex unatumia maximum masaa manne, utakuwa umetumia masaa 16 kwa wiki kusex, Hujamaliza hata siku moja kimahesabu, sasa masaa 16 mara 4 utapata masaa 64 unayotumia kwa mwezi mzima ambayo kimakadirio tufanye ni siku 3 tu za mwezi mzima,
ukizidisha mara 12 unapata siku 36 unazotumia kusex kwa mwaka mzima, assume umeishi na mkeo kwa miaka 30, utapata kimahesabu siku 1080 unazotumia kusex na mkeo kwa miaka 30.
Hiyo miaka mingine yote unafikiri mtakuwa mnafanya nn ikiwa unafikiria ndoa ni ngono tu, change
Umetoa namba Tu