Kulazimisha mapenzi pasipo na mapenzi ni mbaya sana

Kulazimisha mapenzi pasipo na mapenzi ni mbaya sana

Okrap

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2022
Posts
1,112
Reaction score
2,311
Inatokea yule unae mpenda hana muda na wewe na anajua unampenda kwahiyo hata unapo jaribu kutafuta mapenzi kwake unakosa

Unajikuta una lazimisha mawasiliano kosa dogo amekutushia kukuacha au anakuacha jaribuni kuheshimu hisia za mtu baadhi ya wanaume 😢😢 ina uma sana
 
Inatokea yule unae mpenda hana muda na wewe na anajua unampenda kwahiyo hata unapo jaribu kutafuta mapenzi kwake unakosa

Unajikuta una lazimisha mawasiliano kosa dogo amekutushia kukuacha au anakuacha jaribuni kuheshimu hisia za mtu baadhi ya wanaume [emoji22][emoji22] ina uma sana
Penda unapopendwa tuu....
 
Inatokea yule unae mpenda hana muda na wewe na anajua unampenda kwahiyo hata unapo jaribu kutafuta mapenzi kwake unakosa

Unajikuta una lazimisha mawasiliano kosa dogo amekutushia kukuacha au anakuacha jaribuni kuheshimu hisia za mtu baadhi ya wanaume [emoji22][emoji22] ina uma sana
Wengi tunayafanya haya kwa sababu ya majeraha makubwa mnayotupatia. Wanaume tunabeba dhamana kubwa ya wanawake na familia. Kodi, mavazi, ada, chakula, bill za maji na umeme.

Baba akiumwa anajiuguza mwenyewe na anaweza hata asiseme ila mama na watoto wakiumwa baba ndio anabeba dhamana ya maradhi kwa kuhakikisha wanapona na kurejea tena.

Kumbe pamoja na hayo yote mama anatoa penzi nje, mama ana michepuko yake ambayo gharama unalipia wewe baba. Kwa sasa wanaume wengi tumekuwa na mioyo baridi.
 
Wengi tunayafanya haya kwa sababu ya majeraha makubwa mnayotupatia. Wanaume tunabeba dhamana kubwa ya wanawake na familia. Kodi, mavazi, ada, chakula, bill za maji na umeme.

Baba akiumwa anajiuguza mwenyewe na anaweza hata asiseme ila mama na watoto wakiumwa baba ndio anabeba dhamana ya maradhi kwa kuhakikisha wanapona na kurejea tena.

Kumbe pamoja na hayo yote mama anatoa penzi nje, mama ana michepuko yake ambayo gharama unalipia wewe baba. Kwa sasa wanaume wengi tumekuwa na mioyo baridi.
kwa sasa mkuu nina asilimia zero ya huruma kwa mwanamke
 
Unajikuta una lazimisha mawasiliano kosa dogo amekutushia kukuacha au anakuacha jaribuni kuheshimu hisia za mtu baadhi ya wanaume 😢😢 ina uma sana
Noma Sana

Wape wengine hiko kitobo km yeye anajiona keki wape wengine wale au kiliwekwa hapo kwa ajili yake ?
 
Inatokea yule unae mpenda hana muda na wewe na anajua unampenda kwahiyo hata unapo jaribu kutafuta mapenzi kwake unakosa

Unajikuta una lazimisha mawasiliano kosa dogo amekutushia kukuacha au anakuacha jaribuni kuheshimu hisia za mtu baadhi ya wanaume 😢😢 ina uma sana
Umepigwa tukio la mshangazo?Maana wewe kwa kunung'unika hujambo!
 
Ku-date na mwanachuo kazi Sana anakwambia baby mda HUU nasoma kesho nna test, kumbe kuna mwamba wamepeana miadi anaenda kutombw@
 
Inatokea yule unae mpenda hana muda na wewe na anajua unampenda kwahiyo hata unapo jaribu kutafuta mapenzi kwake unakosa

Unajikuta una lazimisha mawasiliano kosa dogo amekutushia kukuacha au anakuacha jaribuni kuheshimu hisia za mtu baadhi ya wanaume [emoji22][emoji22] ina uma sana
Mwanamke akikujua kuwa unampenda sana pia huna uwezo wa kumuacha atakufanya utembelee magoti,oeni mnao wapenda katika wanawake 2 3 4 hiyo ndio dawa ya wanawake
 
Back
Top Bottom