Pole sanaInatokea yule unae mpenda hana muda na wewe na anajua unampenda kwahiyo hata unapo jaribu kutafuta mapenzi kwake unakosa
Unajikuta una lazimisha mawasiliano kosa dogo amekutushia kukuacha au anakuacha jaribuni kuheshimu hisia za mtu baadhi ya wanaume π’π’ ina uma sana
Ni jina la kipindiLeo tena.
Penda unapopendwa tuu....Inatokea yule unae mpenda hana muda na wewe na anajua unampenda kwahiyo hata unapo jaribu kutafuta mapenzi kwake unakosa
Unajikuta una lazimisha mawasiliano kosa dogo amekutushia kukuacha au anakuacha jaribuni kuheshimu hisia za mtu baadhi ya wanaume [emoji22][emoji22] ina uma sana
Mapenzi hayana ukubwa ....Wewe bado mtoto una mapenzi ya kishule shule
Wengi tunayafanya haya kwa sababu ya majeraha makubwa mnayotupatia. Wanaume tunabeba dhamana kubwa ya wanawake na familia. Kodi, mavazi, ada, chakula, bill za maji na umeme.Inatokea yule unae mpenda hana muda na wewe na anajua unampenda kwahiyo hata unapo jaribu kutafuta mapenzi kwake unakosa
Unajikuta una lazimisha mawasiliano kosa dogo amekutushia kukuacha au anakuacha jaribuni kuheshimu hisia za mtu baadhi ya wanaume [emoji22][emoji22] ina uma sana
kwa sasa mkuu nina asilimia zero ya huruma kwa mwanamkeWengi tunayafanya haya kwa sababu ya majeraha makubwa mnayotupatia. Wanaume tunabeba dhamana kubwa ya wanawake na familia. Kodi, mavazi, ada, chakula, bill za maji na umeme.
Baba akiumwa anajiuguza mwenyewe na anaweza hata asiseme ila mama na watoto wakiumwa baba ndio anabeba dhamana ya maradhi kwa kuhakikisha wanapona na kurejea tena.
Kumbe pamoja na hayo yote mama anatoa penzi nje, mama ana michepuko yake ambayo gharama unalipia wewe baba. Kwa sasa wanaume wengi tumekuwa na mioyo baridi.
Noma SanaUnajikuta una lazimisha mawasiliano kosa dogo amekutushia kukuacha au anakuacha jaribuni kuheshimu hisia za mtu baadhi ya wanaume π’π’ ina uma sana
Umepigwa tukio la mshangazo?Maana wewe kwa kunung'unika hujambo!Inatokea yule unae mpenda hana muda na wewe na anajua unampenda kwahiyo hata unapo jaribu kutafuta mapenzi kwake unakosa
Unajikuta una lazimisha mawasiliano kosa dogo amekutushia kukuacha au anakuacha jaribuni kuheshimu hisia za mtu baadhi ya wanaume π’π’ ina uma sana
Hapana.Jitahidi kuuhimili moyo wako.Ni changadoa huyo mkuuu hana jipya
π€π€π€ NajaribuHapana.Jitahidi kuuhimili moyo wako.
Mwanamke akikujua kuwa unampenda sana pia huna uwezo wa kumuacha atakufanya utembelee magoti,oeni mnao wapenda katika wanawake 2 3 4 hiyo ndio dawa ya wanawakeInatokea yule unae mpenda hana muda na wewe na anajua unampenda kwahiyo hata unapo jaribu kutafuta mapenzi kwake unakosa
Unajikuta una lazimisha mawasiliano kosa dogo amekutushia kukuacha au anakuacha jaribuni kuheshimu hisia za mtu baadhi ya wanaume [emoji22][emoji22] ina uma sana