CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Kwanini hii timu isiitwe ccm stars?Nimeona Bango la mama wa wetu mpendwa kule AFCON akisapoti mpira, hii inaonyesha Mama anapenda mpira sana, MAma tumuunge mkono kwenye swala la mpira.
Binafisi nafarijika sana, kwenye kuchangia timu ya Taifa Mama alitoa million 500, sidhani kama kuna Raisi mwingine kafanya hivyo.
Si Bora hata Rais Wetu Huwa anawapa Moyo ila nyie mnawaponda Stars.Nimeona Bango la mama wa wetu mpendwa kule AFCON akisapoti mpira, hii inaonyesha Mama anapenda mpira sana, MAma tumuunge mkono kwenye swala la mpira.
Binafisi nafarijika sana, kwenye kuchangia timu ya Taifa Mama alitoa million 500, sidhani kama kuna Raisi mwingine kafanya hivyo.
Wewe creche....akili ndogoSi Bora hata Rais Wetu Huwa anawapa Moyo ila nyie mnawaponda Stars.
Kwa sababu watu wa dhuluma wamejiweka mbele kwenye hiyo team kusaka sifa za kisiasa. Na kwa taarifa yako hata leo Tanzania ikivamiwa watakuwa upande wa adui. Hiyo tafsiri yake ni haki huinua taifa.Hivi kwann watanzania baadhi Wanafurahi stars kufanya vibaya afcon
Wewe mavi ya Bata akili zako ziko wapi?Wewe creche....akili ndogo
Ujinga Kipaji
Kuwapa moyo kwa lengo la kusaka sifa za kisiasa huo sio moyo.Si Bora hata Rais Wetu Huwa anawapa Moyo ila nyie mnawaponda Stars.
Kwani nyie mnakatazwa kuzisaka hizo sifa za Kisiasa Kwa Timu? Mbona Lisu alienda kuzisaka?Kuwapa moyo kwa lengo la kusaka sifa za kisiasa huo sio moyo.
Tunazisaka kwa Taifa Star Kufurushwa kwenye mashindanoKwani nyie mnakatazwa kuzisaka hizo sifa?
Si Kila mtu ni mfuasi wa sifa za kijinga.Kwani nyie mnakatazwa kuzisaka hizo sifa?
Waacheni Sasa wanaozitaka hizo sifa za kijinga,nyie mnawashwa na nini?Si Kila mtu ni mfuasi wa sifa za kijinga.
Inaitwa MAMA STARSKwanini hii timu isiitwe ccm stars?
Sisi kazi yetu ni kuwatuliza wapenda sifa za kijinga.Waacheni Sasa wanaozitaka hizo sifa za kijinga,nyie mnawashwa na nini?