Mr mutuu
JF-Expert Member
- Jan 27, 2023
- 2,869
- 14,501
Umeangalia mpira? Mtangazaji baada ya goli kawasifu namba 1,2 na 3 ambao nimewataja hapoSiamini kama haya maneno ni kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeangalia mpira? Mtangazaji baada ya goli kawasifu namba 1,2 na 3 ambao nimewataja hapoSiamini kama haya maneno ni kweli
Labda siasa isingeingizwa kwenye mpira!Hivi kwann watanzania baadhi Wanafurahi stars kufanya vibaya afcon
We unawaza siasa tu na magwanda yako!!..vua uoshe jasho makalioniKwa sababu watu wa dhuluma wamejiweka mbele kwenye hiyo team kusaka sifa za kisiasa. Na kwa taarifa yako hata leo Tanzania ikivamiwa watakuwa upande wa adui. Hiyo tafsiri yake ni haki huinua taifa.
Na mimi nimeshangaa, lakini hiyo ina maana nchi iko divided kabisa. CCM na serikali yao ndo tuliowapa dhamana ya kuongeza taifa lakini hawayaoni hayo. Si uzalendo kushuka, ni sababu hatukai pamoja na watu wenye mawazo mbadala na kila mmoja akasikilizwaHivi kwann watanzania baadhi Wanafurahi stars kufanya vibaya afcon
Niliposoma swala;Nimeona Bango la mama wa wetu mpendwa kule AFCON akisapoti mpira, hii inaonyesha Mama anapenda mpira sana, MAma tumuunge mkono kwenye swala la mpira.
Binafisi nafarijika sana, kwenye kuchangia timu ya Taifa Mama alitoa million 500, sidhani kama kuna Raisi mwingine kafanya hivyo.
Serikali isingetoa pesa za safari,malazi na posho,hiyo timu yenyewe ingekuwepo!?Ujinga ni siasa kwenye mpira, Yani msuva anafunga goli unaskia shukrani ziende kwa mama kizimkazi, Philip mpango kigoma, bila kumsahau pm kutoka lindi... Yaani huyu mtangazaji Leo kanikera basi tu
Ni wajibu wa serikali wala si ombi. Wasingetoa ingekuwa aibu na ingeonyesha AFCON ijayo hawana uwezo wa kupanda.Serikali isingetoa pesa za safari,malazi na posho,hiyo timu yenyewe ingekuwepo!?
Hakika mkuu, na haya matokeo ni zawadi kwakeMAma anatakiwa kuungwa mkono, ni Raisi pekee anaye fuatilia mpira ba ni Mwanamke, Sapoti ni muhimu sana
Kichwa chako unakitumia kama mfuniko wa shingoSerikali isingetoa pesa za safari,malazi na posho,hiyo timu yenyewe ingekuwepo!?
Baba akitimiza wajibu wake kwa familia hatakiwi kusifiwa!?Ni wajibu wa serikali wala si ombi. Wasingetoa ingekuwa aibu na ingeonyesha AFCON ijayo hawana uwezo wa kupanda.
Kajiangalie kwenye kioo uuone ujinga wakoKichwa chako unakitumia kama mfuniko wa shingo
kuingia na bango lenye picha ya rais uwanjani hii ni uthibitisho kuwa nchi imejaa wapumbavuNimeona Bango la mama wa wetu mpendwa kule AFCON akisapoti mpira, hii inaonyesha Mama anapenda mpira sana, MAma tumuunge mkono kwenye swala la mpira.
Binafisi nafarijika sana, kwenye kuchangia timu ya Taifa Mama alitoa million 500, sidhani kama kuna Raisi mwingine kafanya hivyo.
labda kama ni baba fake, baba la baba haitaji kusifiwa.Baba akitimiza wajibu wake kwa familia hatakiwi kusifiwa!?
Ni wengi hutoamini. Mechi ya kwanza niliangalia ukumbini ha leo nimeangalia bar,tuna shida hii nchi na uzalendo haulazimishiki. Kuna wanaojidai tuko pamoja ila kuna dakika Zambia mchezaji kakosa goli watanzania wenzetu walivyoumia kwa sauti ndio tukajua hawa nao wanaigiza uzalendo.Hivi kwann watanzania baadhi Wanafurahi stars kufanya vibaya afcon
Mama anaupiga mwingiNimeona Bango la mama wa wetu mpendwa kule AFCON akisapoti mpira, hii inaonyesha Mama anapenda mpira sana, MAma tumuunge mkono kwenye swala la mpira.
Binafisi nafarijika sana, kwenye kuchangia timu ya Taifa Mama alitoa million 500, sidhani kama kuna Raisi mwingine kafanya hivyo.
SafiSisi kazi yetu ni kuwatuliza wapenda sifa za kijinga.
Ndo asili ya mkosi kwa team yetu ya taifa.Nimeona Bango la mama wa wetu mpendwa kule AFCON akisapoti mpira, hii inaonyesha Mama anapenda mpira sana, MAma tumuunge mkono kwenye swala la mpira.
Binafisi nafarijika sana, kwenye kuchangia timu ya Taifa Mama alitoa million 500, sidhani kama kuna Raisi mwingine kafanya hivyo.
Timu la CCM lile, sisi tusio na chama hatulipendi ng'oooo.Hivi kwann watanzania baadhi Wanafurahi stars kufanya vibaya afcon
Na yeye huyo mtangazaji anahitaji kuwa DC siku moja kama wenzake wengi.Ujinga ni siasa kwenye mpira, Yani msuva anafunga goli unaskia shukrani ziende kwa mama kizimkazi, Philip mpango kigoma, bila kumsahau pm kutoka lindi... Yaani huyu mtangazaji Leo kanikera basi tu