Kule AFCON kuna timu nyingine ina Bango la Rais wao uwanjani zaidi ya Tanzania?

Ujinga ni siasa kwenye mpira, Yani msuva anafunga goli unaskia shukrani ziende kwa mama kizimkazi, Philip mpango kigoma, bila kumsahau pm kutoka lindi... Yaani huyu mtangazaji Leo kanikera basi tu
Anatafuta U disii,ujinga mwingi
 
Ujinga ni siasa kwenye mpira, Yani msuva anafunga goli unaskia shukrani ziende kwa mama kizimkazi, Philip mpango kigoma, bila kumsahau pm kutoka lindi... Yaani huyu mtangazaji Leo kanikera basi tu
Siamini kama haya maneno ni kweli
 
Milion 500 kaipata wapi?
 
Kwanini hii timu isiitwe ccm stars?
Raisi ana mapenzi na mpira huo ukweli haupingiki
 
Hivi kwann watanzania baadhi Wanafurahi stars kufanya vibaya afcon
Wangeshinda hao kijani kibichi wangelichukua kisiasa. Ungesikia wabunge wanafunga safari kwenye Ivory kushangilia Taifa Stars. Bora tu wafungashe virago ili kuipunguzia nchi hasara.
 
CCM wanajaribu kufanya mafanikio ya Taifa Stars ni mafanikio yao. Kama unaona chuki ujue ni kwa CCM na serikali yake.
But nasapoti anacho Fanya Samia make wengine Maraisi hawafanyi, Mama anaoenda Mpira kutoka Moyoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…