Kule Paris Ufaransa ndiko Utalii unako Tangazwa haswa, kuliko ile Royal tour, Serikali iko busy na Yanga na Simba

Kule Paris Ufaransa ndiko Utalii unako Tangazwa haswa, kuliko ile Royal tour, Serikali iko busy na Yanga na Simba

BLACK MOVEMENT

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
4,548
Reaction score
11,901
Sababu ni kwa nini Kenya inapokea watalii wengi pamoja na kuwa na vivutio vichache ni kwa sababu ya kinacho endelea Paria Ufaransa.

Mashindano ya Olyimpic ni moja ya sehemu ya nchi kujitangaza bure kabisa huku Duniani, Ila Tanzania hatuyapi umuhimu kwa sababu hakuna wajinga wa kubeba mabango ya Raisi kule.

Juzi nilishangaa kumuona Waziri wa Michezo Uwanja wa Taifa badala kuwepo Ufaransa kuwatia hata moyo hao wanariadha sijui wawili au watatu waliopo kule. Waziri yuko busy na Yanga na Simba timu za Samia ambazo CCM ina zitumia kisiasa tu kwa sababu zimejaaa wajinga tupu.

Kenya inajitangaza vilivyo pare Paris Ufaransa, make mashindano yanatazwama vilivyo na Dunia nzima.

Tanzania tulivyo wajinga tunaamini Yanga na Simba zunaweza Itangaza Tanzania, haya ni mawazo ya kijinga sana kutoka kwa Taifa ka wajinga.

Sina uhakika hata kama timu ya Olyimpic ya Tanzania iliagwa hata na Waziri wa Michezo, sina uhakika achilia mbali kuagwa na Raisi ambaye hawezi fanya hivyo make hakuna wapiga kura kwenye timu ya Olyimpic.

Hakuna kiongozi wa nchi anaumia na kinacho endelea Paris kule, bali wana furaha kwa sababu wana mazezeta wengi sana pale yanga a Simba wa kuwasapoti kwenye kupiga kura.


Tuendelee kuwa busy na Yanga na Simba make kule ndiko wamejaaa idadi kubwa sana ya Wajinga wa hili Taifa la Tanzania.
 
Sababu ni kwa nini Kenya inapokea watalii wengi pamoja na kuwa na vivutio vichache ni kwa sababu ya kinacho endelea Paria Ufaransa.

Mashindano ya Olyimpic ni moja ya sehemu ya nchi kujitangaza bure kabisa huku Duniani, Ila Tanzania hatuyapi umuhimu kwa sababu hakuna wajinga wa kubeba mabango ya Raisi kule.

Juzi nilishangaa kumuona Waziri wa Michezo Uwanja wa Taifa badala kuwepo Ufaransa kuwatia hata moyo hao wanariadha sijui wawili au watatu waliopo kule. Waziri yuko busy na Yanga na Simba timu za Samia ambazo CCM ina zitumia kisiasa tu kwa sababu zimejaaa wajinga tupu.

Kenya inajitangaza vilivyo pare Paris Ufaransa, make mashindano yanatazwama vilivyo na Dunia nzima.

Tanzania tulivyo wajinga tunaamini Yanga na Simba zunaweza Itangaza Tanzania, haya ni mawazo ya kijinga sana kutoka kwa Taifa ka wajinga.

Sina uhakika hata kama timu ya Olyimpic ya Tanzania iliagwa hata na Waziri wa Michezo, sina uhakika achilia mbali kuagwa na Raisi ambaye hawezi fanya hivyo make hakuna wapiga kura kwenye timu ya Olyimpic.

Hakuna kiongozi wa nchi anaumia na kinacho endelea Paris kule, bali wana furaha kwa sababu wana mazezeta wengi sana pale yanga a Simba wa kuwasapoti kwenye kupiga kura.


Tuendelee kuwa busy na Yanga na Simba make kule ndiko wamejaaa idadi kubwa sana ya Wajinga wa hili Taifa la Tanzania.
Kenya imeleta midali minne uganda miwili Tz tuko bzy na uchawa tu. Hi nchi kama ijabalance vizuri kuna kitu hakiko sawa, kuanzia raia hadi viongozi wake.
 
Kule Paris hakuna fala ataebeba picha ya Rais, niliona wivu sana jana yule mkenya kachukua gold medal ikapigwa anthem ya kenye bendera ikapandishwa.

Paris michezo yote ipo, sawa sisi hatuwezi soti bas hata kurusha mikuki, kupiga mishale masai si wapo,
kupiga risasi mbona tuna askari kibao, waowanawaza rushwa tu.

Baiskeli kuna wasukuma wanaendesha baiskeli kama jini, kuna wapiga kasia hapa wamejaaa, michezo ni mingi wazee.
 
Kule Paris hakuna fala ataebeba picha ya Rais, niliona wivu sana jana yule mkenya kachukua gold medal ikapigwa anthem ya kenye bendera ikapandishwa.

Paris michezo yote ipo, sawa sisi hatuwezi soti bas hata kirusha mikuki, kupiga mishale masai si wapo,
kupiga risasi mbona tuna askari kibao, waowanawaza rushwa tu.

Baiskeli kuna wasukuma wanaendesha baiskeli kama jini, kuna wapiga kasia hapa wamejaaa, michezo ni mingi wazee.
Askari si tuna wale waliofanya yao kwenye ile clipu? Ndio vipaji tulivyonavyo. Ila inasikitisha sana. Mashabiki wanaenda taifa na mabango yameandikwa sisi ndio wapiga kura
 
Sababu ni kwa nini Kenya inapokea watalii wengi pamoja na kuwa na vivutio vichache ni kwa sababu ya kinacho endelea Paria Ufaransa.

Mashindano ya Olyimpic ni moja ya sehemu ya nchi kujitangaza bure kabisa huku Duniani, Ila Tanzania hatuyapi umuhimu kwa sababu hakuna wajinga wa kubeba mabango ya Raisi kule.

Juzi nilishangaa kumuona Waziri wa Michezo Uwanja wa Taifa badala kuwepo Ufaransa kuwatia hata moyo hao wanariadha sijui wawili au watatu waliopo kule. Waziri yuko busy na Yanga na Simba timu za Samia ambazo CCM ina zitumia kisiasa tu kwa sababu zimejaaa wajinga tupu.

Kenya inajitangaza vilivyo pare Paris Ufaransa, make mashindano yanatazwama vilivyo na Dunia nzima.

Tanzania tulivyo wajinga tunaamini Yanga na Simba zunaweza Itangaza Tanzania, haya ni mawazo ya kijinga sana kutoka kwa Taifa ka wajinga.

Sina uhakika hata kama timu ya Olyimpic ya Tanzania iliagwa hata na Waziri wa Michezo, sina uhakika achilia mbali kuagwa na Raisi ambaye hawezi fanya hivyo make hakuna wapiga kura kwenye timu ya Olyimpic.

Hakuna kiongozi wa nchi anaumia na kinacho endelea Paris kule, bali wana furaha kwa sababu wana mazezeta wengi sana pale yanga a Simba wa kuwasapoti kwenye kupiga kura.


Tuendelee kuwa busy na Yanga na Simba make kule ndiko wamejaaa idadi kubwa sana ya Wajinga wa hili Taifa la Tanzania.
Watanzania wenye akili ndogo wmebadilishwa uwezo wa kuona mambo na kuamua wmekuwa km watu wa pwani..! maneno mengi na majisifu, vitendo SIFURI!
 
Tanzania kutokuwa na uwakilishi unaolingana na umri wa nchi toka kupata uhuru, idadi na ukubwa wa nchi kwenye michezo mikubwa km Olympics ni kielelezo kuwa tuna taifa Mfu! na serikali yenye dhamana ya uongozi kwenye mambo yote yanayolipatia taifa sifa, kuheshimiwa, mapato, marafiki haijui ilifanyalo na haijui inakoelekea! Mpira wenyewe hakuna popote umelifikisha taifa! Mpira wa mdomoni..kila mtu ni mchambuzi na afisa habari wa kujitakia kwa timu anayopenda..Eti nchi tunapeleka waogeleaji Olympics..r we serious? tumeshindwa kujua potential yetu iko kwenye michezo gani..? Nchi km Botswana ina watu million 3 tu tunawazidi mara 20, wmefanya homework yao vzr wamejipata, leo wanashiriki Olympics na kushinda medali! Michezo siyo futbal peke yake, na watu wa dar es salaam wanapaswa wafahamu jambo hili! Miaka ya 70, 80 na 90 nchi hii ilikuwa bora sana kimataifa kwenye riadha na netball..sijui ni wapumbavu gani waliingia na kuhamisha attention kwenye netball na riadha ikaenda kwenye uigizaji na u-miss! It's terrible! Tumekuwa km taifa lote tuna asili ya Pwani..maneno meeengi..na ushabiki wa kijinga! Leo tunashindwa na Burundi..kweli?? Nini tumebaki nacho sasa..ignorance na usimba na uyanga..???nini taifa linapata?? nguvu nyingi kwenye mambo nonsense kabisa km simba au yanga day..na media yetu ndio inaua mambo mazuri na kupandikiza ujinga kwa wananchi..!
TUJIREKEBISHE!
 
Sababu ni kwa nini Kenya inapokea watalii wengi pamoja na kuwa na vivutio vichache ni kwa sababu ya kinacho endelea Paria Ufaransa.

Mashindano ya Olyimpic ni moja ya sehemu ya nchi kujitangaza bure kabisa huku Duniani, Ila Tanzania hatuyapi umuhimu kwa sababu hakuna wajinga wa kubeba mabango ya Raisi kule.

Juzi nilishangaa kumuona Waziri wa Michezo Uwanja wa Taifa badala kuwepo Ufaransa kuwatia hata moyo hao wanariadha sijui wawili au watatu waliopo kule. Waziri yuko busy na Yanga na Simba timu za Samia ambazo CCM ina zitumia kisiasa tu kwa sababu zimejaaa wajinga tupu.

Kenya inajitangaza vilivyo pare Paris Ufaransa, make mashindano yanatazwama vilivyo na Dunia nzima.

Tanzania tulivyo wajinga tunaamini Yanga na Simba zunaweza Itangaza Tanzania, haya ni mawazo ya kijinga sana kutoka kwa Taifa ka wajinga.

Sina uhakika hata kama timu ya Olyimpic ya Tanzania iliagwa hata na Waziri wa Michezo, sina uhakika achilia mbali kuagwa na Raisi ambaye hawezi fanya hivyo make hakuna wapiga kura kwenye timu ya Olyimpic.

Hakuna kiongozi wa nchi anaumia na kinacho endelea Paris kule, bali wana furaha kwa sababu wana mazezeta wengi sana pale yanga a Simba wa kuwasapoti kwenye kupiga kura.


Tuendelee kuwa busy na Yanga na Simba make kule ndiko wamejaaa idadi kubwa sana ya Wajinga wa hili Taifa la Tanzania.
Hii Yanga na Simba ndo mtaji wa CCM.
Wajinga wamejazana kushabikia Yanga na Simba ht hawajitambui
 
Kenya imeleta midali minne uganda miwili Tz tuko bzy na uchawa tu. Hi nchi kama ijabalance vizuri kuna kitu hakiko sawa, kuanzia raia hadi viongozi wake.
Changamoto kubwa ni fikra za kutaka kilicho tayari (uchawa, udalali, umachinga, na kujipendekeza) badala ya uzalishaji wa moja kwa moja.
Wakati wachina wamejaa nchini wakichimba na kuiba madini, kujenga barabara (nyingine chini ya kiwango kwa pesa ile ile), wakijenga viwanda rahisi kutumia raslimali zetu za asili, huku watu wetu wanaelekeza nguvu nyngi kwenye uchawa na siasa za kijinga kabisa.
Tunajenga kizazi ambacho badala ya kujenga vipaji vya kujiimarisha katika Sanaa, michezo, na fani nyingine, wanajijenga kuwa machawa wakubwa. Kuna hatari ya taifa kukosa ulinzi wa uhakika huko mbeleni tusipokuwa makini.
 
Mwana FA yuko kupambania ubunge wake, lazima ajielekeze kwenye Simba na Yanga zaidi.
 
Tanzania kutokuwa na uwakilishi unaolingana na umri wa nchi toka kupata uhuru, idadi na ukubwa wa nchi kwenye michezo mikubwa km Olympics ni kielelezo kuwa tuna taifa Mfu! na serikali yenye dhamana ya uongozi kwenye mambo yote yanayolipatia taifa sifa, kuheshimiwa, mapato, marafiki haijui ilifanyalo na haijui inakoelekea! Mpira wenyewe hakuna popote umelifikisha taifa! Mpira wa mdomoni..kila mtu ni mchambuzi na afisa habari wa kujitakia kwa timu anayopenda..Eti nchi tunapeleka waogeleaji Olympics..r we serious? tumeshindwa kujua potential yetu iko kwenye michezo gani..? Nchi km Botswana ina watu million 3 tu tunawazidi mara 20, wmefanya homework yao vzr wamejipata, leo wanashiriki Olympics na kushinda medali! Michezo siyo futbal peke yake, na watu wa dar es salaam wanapaswa wafahamu jambo hili! Miaka ya 70, 80 na 90 nchi hii ilikuwa bora sana kimataifa kwenye riadha na netball..sijui ni wapumbavu gani waliingia na kuhamisha attention kwenye netball na riadha ikaenda kwenye uigizaji na u-miss! It's terrible! Tumekuwa km taifa lote tuna asili ya Pwani..maneno meeengi..na ushabiki wa kijinga! Leo tunashindwa na Burundi..kweli?? Nini tumebaki nacho sasa..ignorance na usimba na uyanga..???nini taifa linapata?? nguvu nyingi kwenye mambo nonsense kabisa km simba au yanga day..na media yetu ndio inaua mambo mazuri na kupandikiza ujinga kwa wananchi..!
TUJIREKEBISHE!
Jana wakati wa mechi ya community shield baina ya machester united na machester city niliona mtu anapaza bendera ya Tanzania wakati wa goli, hivi kuna mtanzania anaechezea Man u. Au ulikua bendera ya nchi nyingine.
 
Back
Top Bottom