Kule Paris Ufaransa ndiko Utalii unako Tangazwa haswa, kuliko ile Royal tour, Serikali iko busy na Yanga na Simba

Kule Paris Ufaransa ndiko Utalii unako Tangazwa haswa, kuliko ile Royal tour, Serikali iko busy na Yanga na Simba

Tanzania kutokuwa na uwakilishi unaolingana na umri wa nchi toka kupata uhuru, idadi na ukubwa wa nchi kwenye michezo mikubwa km Olympics ni kielelezo kuwa tuna taifa Mfu! na serikali yenye dhamana ya uongozi kwenye mambo yote yanayolipatia taifa sifa, kuheshimiwa, mapato, marafiki haijui ilifanyalo na haijui inakoelekea! Mpira wenyewe hakuna popote umelifikisha taifa! Mpira wa mdomoni..kila mtu ni mchambuzi na afisa habari wa kujitakia kwa timu anayopenda..Eti nchi tunapeleka waogeleaji Olympics..r we serious? tumeshindwa kujua potential yetu iko kwenye michezo gani..? Nchi km Botswana ina watu million 3 tu tunawazidi mara 20, wmefanya homework yao vzr wamejipata, leo wanashiriki Olympics na kushinda medali! Michezo siyo futbal peke yake, na watu wa dar es salaam wanapaswa wafahamu jambo hili! Miaka ya 70, 80 na 90 nchi hii ilikuwa bora sana kimataifa kwenye riadha na netball..sijui ni wapumbavu gani waliingia na kuhamisha attention kwenye netball na riadha ikaenda kwenye uigizaji na u-miss! It's terrible! Tumekuwa km taifa lote tuna asili ya Pwani..maneno meeengi..na ushabiki wa kijinga! Leo tunashindwa na Burundi..kweli?? Nini tumebaki nacho sasa..ignorance na usimba na uyanga..???nini taifa linapata?? nguvu nyingi kwenye mambo nonsense kabisa km simba au yanga day..na media yetu ndio inaua mambo mazuri na kupandikiza ujinga kwa wananchi..!
TUJIREKEBISHE!
Inasikitisha sana
 
Hata channel za kutuonyesha, tumelipia fedha lakini wanaonyesha vipindi vya kiislam
 
Hali yetu huko Paris
 

Attachments

  • IMG_1537.jpeg
    IMG_1537.jpeg
    109.4 KB · Views: 3
Sisi badala ya kupeleka watu olympic, tunapeleka wasanii Korea.

Wasanii wenyewe walivyo mbumbumbu, baada ya kufika Korea badala ya kutangaza utamaduni wa Kitanzania, wanaanza kutangaza utamaduni wa Korea!
Screenshot_20240811-103223_Instagram.jpg
 
Olympics iliyomtukana mpaka Yesu na inayoshabikia ushoga?

Hayo yamenifanya kwa mara ya kwanza sijtazama maonesho ya Olym[ics. Huko wanaume wanagombania kuwa wanawake.

Uislam ni mwema sana.
Iran wamesinda medali 3 za dhahabu tayari.
 
.


Tuendelee kuwa busy na Yanga na Simba make kule ndiko wamejaaa idadi kubwa sana ya Wajinga wa hili Taifa la Tanzania.
Kwa mujibu wa tafiti; hao wajinga wanaimini sana ccm na wapo tayari kuifia!
Hivyo ccm haiwezi kufanya kinyume zaidi ya kuwa pamoja nao!
 
Mtaji wa CCM ni umasikini na ujinga bila hivi sisiem haiwez kuongoza hili taifa, kwa idadi ya watu tulionao huezi kosa watu wenye vipaji vya kucompete kwenye mashindano ya olympic, tatizo kuu ni umasikin wa makusudi tunaosababishiwa na CCM, ukitaka kufa na njaa kirahis tz invest kwenye michezo, nguvu kubwa ya michezo ccm imeweka kwa simba na yanga wengine wote muwe mashabiki na machawa wa serikali. Kwa iyo sio kosa la wananchi ni makusudi yanayofanya na serikali yao.
 
Jana wakati wa mechi ya community shield baina ya machester united na machester city niliona mtu anapaza bendera ya Tanzania wakati wa goli, hivi kuna mtanzania anaechezea Man u. Au ulikua bendera ya nchi nyingine.
Kwenye taarifa zilizovuja weakleaks wakati ule..mabalozi wa magharibi wanaeleza kuwa wako kwenye nchi Africa ambako jezi za timu klabu za ulaya zinavaliwa kwa wingi zaid kuliko jezi za timu zao za taifa..na serikali ipo radhi kuahirisha jambo la kitaifa ili watu wakaangalie mpira wa man. United na arsenal hao ndio watu wanaopewa hadhi sawa na binadamu walioko nchi za magharibi..
 
Sababu ni kwa nini Kenya inapokea watalii wengi pamoja na kuwa na vivutio vichache ni kwa sababu ya kinacho endelea Paria Ufaransa.

Mashindano ya Olyimpic ni moja ya sehemu ya nchi kujitangaza bure kabisa huku Duniani, Ila Tanzania hatuyapi umuhimu kwa sababu hakuna wajinga wa kubeba mabango ya Raisi kule.

Juzi nilishangaa kumuona Waziri wa Michezo Uwanja wa Taifa badala kuwepo Ufaransa kuwatia hata moyo hao wanariadha sijui wawili au watatu waliopo kule. Waziri yuko busy na Yanga na Simba timu za Samia ambazo CCM ina zitumia kisiasa tu kwa sababu zimejaaa wajinga tupu.

Kenya inajitangaza vilivyo pare Paris Ufaransa, make mashindano yanatazwama vilivyo na Dunia nzima.

Tanzania tulivyo wajinga tunaamini Yanga na Simba zunaweza Itangaza Tanzania, haya ni mawazo ya kijinga sana kutoka kwa Taifa ka wajinga.

Sina uhakika hata kama timu ya Olyimpic ya Tanzania iliagwa hata na Waziri wa Michezo, sina uhakika achilia mbali kuagwa na Raisi ambaye hawezi fanya hivyo make hakuna wapiga kura kwenye timu ya Olyimpic.

Hakuna kiongozi wa nchi anaumia na kinacho endelea Paris kule, bali wana furaha kwa sababu wana mazezeta wengi sana pale yanga a Simba wa kuwasapoti kwenye kupiga kura.


Tuendelee kuwa busy na Yanga na Simba make kule ndiko wamejaaa idadi kubwa sana ya Wajinga wa hili Taifa la Tanzania.
Kwenhe haya mash in can on so joins hats mfaransa mmoja aliebeba picha ya rais wao ingekuwa huku??! Kina jomate, mwijaku, stivu nyerere n.k wangevaa had I chupi zenye picha ya mama
 
Kingine ni kwamba
Kile kinacho fanyika france nchi ijitahidi kuanzisha hata robo kinacho endana na kile utalii ni zaidi ya kuona wanyama na milima
 
Kule Paris hakuna fala ataebeba picha ya Rais, niliona wivu sana jana yule mkenya kachukua gold medal ikapigwa anthem ya kenye bendera ikapandishwa.

Paris michezo yote ipo, sawa sisi hatuwezi soti bas hata kurusha mikuki, kupiga mishale masai si wapo,
kupiga risasi mbona tuna askari kibao, waowanawaza rushwa tu.

Baiskeli kuna wasukuma wanaendesha baiskeli kama jini, kuna wapiga kasia hapa wamejaaa, michezo ni mingi wazee.
Mwaka huu wameongeza na breakdance kwa ajili ya wale waruka majoka.
 
Back
Top Bottom