Kuliko Aibu ya kufukuzwa bungeni wale Wabunge wasio na chama wanaojiita wa Viti Maalum ni vema Wakajiuzulu wenyewe

Kuliko Aibu ya kufukuzwa bungeni wale Wabunge wasio na chama wanaojiita wa Viti Maalum ni vema Wakajiuzulu wenyewe

Hatuna akili, tunaongoza nchi. Hatuna akili, Bungeni tumejaa sie nje. Hatuna akili eti tunatumia dola nyie mmeufyata! Pumbavu!!!!
Mbona kuna wapumbavu wengi walikwishashika madaraka? Hivi Amin alikuwa na akili kuwazidi waganda wote? Au unaamaini kuwa Hitler alikuwa na akili kuzidi Wajerumani wote?

Kichaa akishika kisu, lazima wenye akili wote wakimbie. Kwa sababu hujui hicho kisu atakitumiaje? Nani angeweza kumsogelea Hayati Magufuli na kumwambia kuwa unakosea, wakati unajua kabisa ameshika kisu, na wewe huna chochote?

Mwenye akili, hata akishika bunduki, bado unaweza kubishana naye, bila ya hofu kuwa anaweza kuitumia vibaya bunduki yake.

CCM inaungwa mkono na watu wajinga (UTAFITI WA TWAWEZA).

NB: Usiombee mjinga apate madaraka.
 
Wakati mwingine inabidi kubadili mbinu za Usaliti ili kuendelea kutafuna hela za ccm na za umma , Mipango ya Mwendazake kwa Covid 19 ni kama imeondoka naye , Ule ulinzi waliokuwa wanapewa na Msigina Katiba aliyekwenda haupo tena , mipango ya kuwaengua kwa aibu imekamilika .

Ili kuepuka jambo hilo wanapaswa kujiuzulu kabla ya Jumatatu
Njaaa, njaaa
 
Mbona kuna wapumbavu wengi walikwishashika madaraka? Hivi Amin alikuwa na akili kuwazidi waganda wote? Au unaamaini kuwa Hitler alikuwa na akili kuzidi Wajerani wote?

Kichaa akishika kisu, lazima wenye akili wote wakimbie. Kwa sababu hujui hicho kisu atakitumiaje? Nani angeweza kumsogelea Hayati Magufuli na kumwambia kuwa unakosea, wakati unajua kabisa ameshika kisu, na wewe huna chochote?

Mwenye akili, hata akishika bunduki, bado unaweza kubishana naye, bila ya hofu kuwa anaweza kuitumia vibaya bunduki yake.

CCM inaungwa mkono na watu wajinga (UTAFITI WA TWAWEZA).

NB: Usiombee mjinga apate madaraka.
Na mjinga akipata madaraka akamuacha mwerevu nje hiyo tunaiitaje Mwl. Kashasha!?
 
Wakati mwingine inabidi kubadili mbinu za Usaliti ili kuendelea kutafuna hela za ccm na za umma , Mipango ya Mwendazake kwa Covid 19 ni kama imeondoka naye , Ule ulinzi waliokuwa wanapewa na Msigina Katiba aliyekwenda haupo tena , mipango ya kuwaengua kwa aibu imekamilika .

Ili kuepuka jambo hilo wanapaswa kujiuzulu kabla ya Jumatatu
Nilisha toa huu ushauri lakini naona wameweka pamba masikioni
 
Unafikiri Bungeni vinaingia vichwa vibovu kama cha Lissu? Pumbavu!
Hivi unafikiri kati ya Tundu Lisu na Hayati Magufuli, mwisho wa yote, nani atajulikana kuwa na akili?

Hayati Magufuli tulimpenda kwa sababu tu ya ule ubinafaku wake, yaani naye alikuwa mwanadamu kama sisi, lakini kwa matendo yake, ni mjinga tu ndiye angemwunga mkono katika mambo yake mengi ya hovyo yaliyoliharibu Taifa. Na italichukua Taifa muda wa miaka hata zaidi ya 10, ili kuweza kuyaondoa kabisa madhara ya uharibifu alioufanya.
 
Wakati mwingine inabidi kubadili mbinu za Usaliti ili kuendelea kutafuna hela za ccm na za umma , Mipango ya Mwendazake kwa Covid 19 ni kama imeondoka naye , Ule ulinzi waliokuwa wanapewa na Msigina Katiba aliyekwenda haupo tena , mipango ya kuwaengua kwa aibu imekamilika .

Ili kuepuka jambo hilo wanapaswa kujiuzulu kabla ya Jumatatu
Nilikuwa nawaamini sana Halima Mdee, Ester Bulaya, Ester Matiko.... Ila njaa haina adabu kwa kweli! Wamekuwa na mwisho mbaya na wa aibu sana!
 
Hivi unafikiri kati ya Tundu Lisu na Hayati Magufuli, mwisho wa yote, nani atajulikana kuwa na akili?

Hayati Magufuli tulimpenda kwa sababu tu ya ule ubinafaku wake, yaani naye alikuwa mwanadamu kama sisi, lakini kwa matendo yake, ni mjinga tu ndiye angemwunga mkono katika mambo yake mengi ya hovyo yaliyoliharibu Taifa. Na italichukua Taifa muda wa miaka hata zaidi ya 10, ili kuweza kuyaondoa kabisa madhara ya uharibifu alioufanya.
Akirudi tena huyo jamaa nistue
 
Back
Top Bottom