Kwa muda nimejaribu kutafuta hivi vigari vidogo kama IST, Vits , Allex nk
Vingi madalali wanauza Mil 10 mpaka 13 almost bei ya kuagiza mil 14 - 16 Japani.
Hapo ukishanunua Bongo jiandae tena na mil 2 za kurekebisha gari angalau uweze kutembelea.
Kwa ushauri tu usikimbilie kununua gari used Bongo subiri ujazie jazie uagize kabisa, uwe na uwakika wa kutuamia angalau miaka 2 bila kwenda garage zaidi ya kumwaga tu oil.
Vingi madalali wanauza Mil 10 mpaka 13 almost bei ya kuagiza mil 14 - 16 Japani.
Hapo ukishanunua Bongo jiandae tena na mil 2 za kurekebisha gari angalau uweze kutembelea.
Kwa ushauri tu usikimbilie kununua gari used Bongo subiri ujazie jazie uagize kabisa, uwe na uwakika wa kutuamia angalau miaka 2 bila kwenda garage zaidi ya kumwaga tu oil.