BAFA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2011
- 3,059
- 5,930
Nimeshuhudia mechi nyingi za waarabu. Mechi zao ni fitina na ulaghai wa kila namna.
Watanzania tujifunze fitna kwani wenzetu wana fitna nyingi sana.
Yaani kila saa hata wakiguswa shati anabiringita mara mia. Sijui haya ni mashoga.Takataka kabisa.
We ndio shoga acha kutukana waaarab kwa chuki binafsi tu. Sisi hatuna kiwango wale sio wenzetu