Kuliko ucheze na Waarabu bora ucheze na Shetani.

Kuliko ucheze na Waarabu bora ucheze na Shetani.

Nimeshuhudia mechi nyingi za waarabu. Mechi zao ni fitina na ulaghai wa kila namna.

Watanzania tujifunze fitna kwani wenzetu wana fitna nyingi sana.

Yaani kila saa hata wakiguswa shati anabiringita mara mia. Sijui haya ni mashoga.Takataka kabisa.

We ndio shoga acha kutukana waaarab kwa chuki binafsi tu. Sisi hatuna kiwango wale sio wenzetu
 
Mimi huwa namkubali marcio maximo sema fitina tu za watz
 
Hakuna fitina haPo goli zote halali kadi zote halali labda mseme waliwapulizia dawa
 
kiukweli leo tulizidiwa kla idara bla kujali matatizo ya waarabu ukweli unabaki pale pale kua tumepigwa kihalali kbs
 
jaman magufuli starz ni bado sana ile ni level nyingine kisoka
 
Cheki goli saba za wa-Algeria, je tunachakujifunza wa-Tanzania kuhusu mpira, tazama video clip hii:

Algerie vs Tanzanie 7-0 Algeria buts complet 2015

mqdefault.jpg


https://www.youtube.com/watch?v=GHy9J10T73I
 
Nimeshuhudia mechi nyingi za waarabu. Mechi zao ni fitina na ulaghai wa kila namna.

Watanzania tujifunze fitna kwani wenzetu wana fitna nyingi sana.

Yaani kila saa hata wakiguswa shati anabiringita mara mia. Sijui haya ni mashoga.Takataka kabisa.

Mbona hata nyie fitina mnaziweza tena sana tu, sema mmeziwekeza zaidi kwenye siasa... hebu jaribuni na kwenye michezo muone kama hamtafanikiwa
 
Ucwaite mashoga kubali mpira hamjui unapowaita mashoga au takataka wenyewe wanapeta na wako vizur Tanzania tutaishia kulalamika
 
Msihofu tumeshampelekea Jecha malalamiko,ameahidi atayafuta matokeo

Kwa hiyo tutarudiana lini na hawa waarab? Make hawachelewagi kugoma kurudia mechi kama anavyozngua maalim seif.
 
Mtoa mada una matatizo ya ubongo fitina iko wapi kwa mpira wa leo hivi kuna goli hata moja la kimagumashi kati ya yale 7?au ndo kukariri kama kudondoka hata mrisho ngasa huwa anafanyaga hayo mambo sisi tuuze maandaz tu mpira cio fani yetu
 
Lile pendekezo la mwana JF humu Stars igeuzwe Bendi naliunga mkono mia kwa mia tena iwe bendi ya mchiriku
 
Back
Top Bottom